19/10/2025
updates
Licha ya Spurs kutangulia kwa goli la mapema haijawanyima Villa sababu za kuondoka na alama tatu katika mchezo wa leo.
Tottenham kachapika kwake na villa wamepata ushindi wa tano mfululizo katika miachuano yote msimu huu🤯🔥. wako 🔥
Haya sasa tusogee kwa majogoo kuna sherehe nyingine huko.
19/10/2025
Nyama kaanza hivi leo.
nini maoni yako!?
19/10/2025
K**a hujajua au umesikia sikia kwa mbaali, ni kweli bwana walimalizana huko huko.
Aya unataka nani arudi et, au watafute jitu jipya lingine lisilojulikana kabisa.
16/10/2025
Shabiki wa Manchester united kuelekea mchezo wa weekend hii dhidi ya Liverpool, unakumbuka wakati gani bora wa huyu mwamba hapo chini na ilikuwa game gani twambie hapo chini.
16/10/2025
USITESWE NA MASAIBU YA JANA, LEO NI SIKU NYINGINE UNAWEZA KUANZA UPYA KWA AJILI YA KESHO ILIYO BORA KWAKO💪
15/10/2025
Umegundua nini.
Tuna EPL league pendwa duniani haoo kombe la dunia.
Lakini kuna TPL, ligi pendwa barani Afrika, wakenya mtuache kidogo..