27/08/2025
Lise Staffs with Minister Gwajima
The best school in the whole world. Welcome to Lise Lise Pre & Primary School
27/08/2025
Lise Staffs with Minister Gwajima
22/03/2025
Eagle Lise Bo
06/03/2025
Lise Kibaha katika maonyesho ya siku ya wanawake duniani Kibaha Mall
25/02/2025
21/11/2024
On tournament
12/09/2024
Before............After......
18/11/2023
Eti hapa tuna ma injinia wawili...Maisha yanaenda mbio sana
C&P
Wiki hii wanafunzi wa darasa la saba wamemaliza mitihani yao mwisho. Hongereni watoto wote na pia wazazi na walimu. Hongera kubwa kwa jamii yote iliyowapa nafasi watoto kusoma kwa utulivu.
Wazazi wengi watakuwa busy kutafuta shule zenye majina makubwa na zenye ufaulu mkubwa. Ni jambo jema sana. Lakini ningependa pia wazazi wenzangu mjue mambo machache:
1. Shule nyingi zenye majina makubwa zinafanya usahili kwa ajili ya kuchukua very smart and talented kids. Yani wale wenye akili . Hivyo k**a mtoto wako ana akili snaa. Ni sehemu sahihi kumpelekeka.
2. Kwa kuwa wanachukua very smart pupils, na wanataka kushindana, mbio zao ni kumaliza syllabus mapema, unakuta mwezi wa nne syllabus ya mwaka mzima imeisha. Wanaanza marudio ya papers etc. kwa mtoto avarage au mwenye uwezo wa kawaida hapa ndio anapata shida na confusion . Hawezi kaenda na speed hizi.
3. Zipo shule za kawaida, wanachukua watoto wa kawaida kabisa. Wana wafundisha taratibu pamoja na maswali. Wanatumia muda mrefu kumaliza syllabus lakini inawawezesha watoto kuelewa na kuvishika vyema.
Mwisho wa Mwaka wote wanakuwa wamemaliza sylabus na wote wanapata A au B. Shule inayowapeleka watoto taratibu na kwa kufuata sylabus pia zina tabia ya kuwabeba wasiojiweza mpaka mwisho, kwa kuwa fahari yao ni kufundisha na kubadili, shule zenu hizi zinazochuja watoto kila muhura fahari yao kubwa ni kushindana. Kuitwa wa kwanza.
Kwao kuwa wakwanza ni kuwashindilia watoto material kwa haraka na kuwafanyisha maswali mengi. Na matokeo yake watoto wengi wa shule hizi wakihama au kwenda vyuoni unawakuta wanakuwa wa kawaida sana. Na wengi wanakosa GPA nzuri. Kwa kuwa kufundisha watoto kwa ajili hii ya fasta ni nzuri kwa mitihani ya hapo kwa hapo lakini haijawahi kuwa bora kwa kubakiza maarifa ya muda mrefu na ukuaji wa akili.
Nchi za ulaya ziliacha siku nyingi sna kushindilia watoto sylabus ya Mwaka mmoja kwa miezi mitatu. Kwa kuwa haijawahi kuwadanyA watoto kuwa bora zaidi ya kuwapa msongo wa mawazo.
Kumbuka maisha bora kabisa unayoweza kuishi duniani ni ya utoto. Watoto wapewe nafasi ya kusoma, kucheza na kufurahi. Wafundishwe na kucheza kwa kiasi.
Kwa Wazazi walioko tayri kuanza kuambiwa Mwezi March kuwa mtoto wako atarudia au mtafutie shule nyingine, basi ndio hizo shule za kushindana. March ni miezi miwili toka mtoto kaanza kufundishwa, kuna miezi nane mbele. Kwa nini mtoto hawezi, au walimu ndio hawawezi kwa kuwa hawako tayari kufundisha Bali wanataka kushindana.
Wazazi tafuteni shule bora na sio shule za kwanza, ukwanza wao ni kuwarudisha home wasioweza kusoma kwa haraka na kubakia na wanaoweza kushindana. Usikubali kumfanya mwanao aamini hawezi wakati anaweza.
Nawatakia Wazazi wote selection njema ya shule za watoto wetu.
13/07/2019
The Best School in Arusha City, After my kids performing wonder in the Interschool Mock of schools on more than 19cities of Tanzania and got the medals.