26/10/2024
Hongera sana noel Ibrahim kwa hatua Kubwa hii ulio fikia jitihada heshima vitakupandisha zaidi hauna muda mrefu kwenye Tasnia ila mafanikio ni makubwa sana 🙏
Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji wa Redio na TV pamoja na International Relation.
26/10/2024
Hongera sana noel Ibrahim kwa hatua Kubwa hii ulio fikia jitihada heshima vitakupandisha zaidi hauna muda mrefu kwenye Tasnia ila mafanikio ni makubwa sana 🙏
BREAKING: NDEGE YA PRECISION YAANGUKA ZIWANI BUKOBA
Ndege hiyo imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani Kagera asubuhi ya leo Novemba 6, 2022
-
Taarifa za awali zinaonesha ndege hiyo imeanguka ziwani wakati ikijaribu kutua; uokoaji wa abiria unaendelea na Kwa mujibu wa mashuhuda, hali ya hewa ilikuwa mbaya huku kukiwa na mvua na ukungu uwanjani hapo.
Moja kati ya studio Bora 🔥
Zinapatikana ndani ya chuo chetu ❣️😍
Mlete mwanao
😂😂 ETI KIREFU CHA SMS NDIO HICHI KWELI
15/09/2021
Tunawaalika kwenye Talent show ya mwezi huu tarehe 24/09/2021
22/07/2021
Tunakuombea kwa Mungu upumzike kwa Amani, sote ni mavumbi na mavumbini tutarejea
21/07/2021
Tunapenda kuwatakia sikukuu njema na pia nafasi za masomo kwa muhula mpya bado zipo fika chuoni maeneo ya Philips Arusha au tupigie simu kwa namba 0754 494 316 au 0715 494 316.
08/07/2021
Hakika tunaendelea kupata pongezi nyingi za wanafunzi wetu kufanya vizuri katika kila maeneo walipo na hii inatokana na ubora wa chuo chetu, karibu sasa ujiunge nasi tupigie simu namba 0715 494 316 au 0754 494 316
01/07/2021
Usajili wa July intake umeanza kwa kozi ya Uandishi wa Habari na Utangzaji pamoja na Mahusiano ya kimataifa, fomu zinapatika chuoni Philips au tembelea katika tovuti yetu.