The University of Dodoma Economists Association

The University of Dodoma Economists Association

Share

MG company Limited was established 2016 for the purpose of marketing,business development and sharing business idea world wide

13/03/2018

Uchumi viwanda unatakuwa na tija zaidi pale viwanda vya nyumbani vitakapotumia malighafi inayopatikana hapa hapa nchini.Mfano mzuri ni madini ya chuma yanayopatikana kwa wingi mchuchuma na Liganga.Hivyo nivizuri serikali kuanzisha viwanda vitakavyozalisha chuma.Mradi wa reli ya kati ya standard gauge (SRG) unakadiriwa kutumia malighafi chuma asilimi 55 (55% iron as raw material for construction of railwayline).Ni vema tukaona rasimali zilizopo nchini zinatumika kufanikisha miradi mikubwa ya maendeleo katika taifa letu kwani kwakufanya hivyo serikali itakuwa imetengeneza nafasi kubwa za ajira kwa vijana wengi nchi nakupunguza wimbi la ukosefu wa ajira.

25/12/2017

The University of Dodoma Economist association wish everyone marry Christmas and happy new year 2018.We advice to use scarce resources like money minimally this season of the end of the year.

25/07/2017

Uchumi wa viwanda utafanikiwa ikiwa wataalamu wa maswala ya kiuchumi kutoka UDOM watatumika vizuri.

03/04/2017

The following are the purpose of our association.
-To promote students academically,theoretically and practically.
-To help students in undertaking various Economic researches.
-To embrace the Economics knowledge.
-To promote critical,analytical and practical Economists within and outside UDOM

Want your school to be the top-listed School/college in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address

Kimindoros
Arusha