Salamu za kipekee kwa mashabiki bora wageni! Kenny Mangaitema
Mbezi Inn Secondary School
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mbezi Inn Secondary School, Mshik**ano, Mbezi, Dar es Salaam.
Hamjambo wanangu. Hili jukwaa lipo huru kutoa taarifa mbalimbali zinazohusiana na wanajamii wa MBEZI INN. ZA FURAHA NA CHANGAMOTO. Mimi baba yenu naona watu wanaongezeka ila taarifa za FURAHA na CHANGAMOTO sizioni humu. Najua makundi yapo mengi ila hili ni la wote halijalishi umemaliza mwaka gani. Hebu liwekeni hai kwa taarifa mbalimbali. MBEZI INN NI MTANDAO KWA SASA
02/11/2023
🚨TANZIA🚨
Tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha mwanambezi inn mwenzetu ISAYA FESTO ambaye alimaliza mwaka 2013 Mbezi Inn.
Msiba upo kimara baruti tujumuhike na familia kwaajili ya kumsindikiza ndugu yetu, mazishi yatafanyika tarehe 3/11/2023.. (Ijumaa)
Kwa maelezo zaidi na kuwakilisha rambirambi zetu tuwasiliane na Marco Mzumbe kwa namba 0757736809
Isaya
29/07/2023
Picha ni Wadau wa Mbezi Inn Secondary School
Mwisho wa event hii ni mwanzo wa event nyingine kubwa sanaaa usikae mbali kwenye page zetu na official group letu la WhatsApp
29/07/2023
Mechi kali sana jana tulishuhudia madogo wapo vizuri sana walitaka kutuhaibisha kwa kutupiga mabao matatu ya chapu chapu ila tulifanya come back ya magoli yote na mpira ukaisha tatu tatu
Picha ni baadhi ya matukio ya mechi ya jana
29/07/2023
Tunashukuru kwa michango yenu tulifanikiwa kuwapatia zawadi zetu (Jezi, Mipira, saa ya ukutani na Tauro za k**e) asanteni sana
Vibe k**a lote leo hiyo🔥👏👏
28/07/2023
Hii ya leo ilikua babu kubwa haijawahi tokea kongole kwenu nyote kwa kufanikisha hii event ifanikiwe kwa 100%, walimu wamefurahi pia wanafunzi wamefurahi
Picha baadhi ya matukio ya siku ya leo
Matokeo ya mechi kali sana iliisha kwa kutoshana jasho mabao matatu kwa matatu vijana waliwachapa kwanza kaka zao mabao matatu ya chapu, Utu uzima dawa malegend wa mbezi inn walirudisha magoli yote matatu na mechi ikaisha 3-3
27/07/2023
🚨RATIBA EVENT YA KESHO MBEZI INN🚨
11:00am (saa tano kamili asubuhi)- Kuwasili mbezi mwisho na kuanza safari ya kwenda mbezi inn
11:30am (saa tano na nusu asubuhi)- Kuwasili Mbezi Inn Secondary School na kukutana na wanafunzi na walimu kwa ajili ya kusalimiana na kugawa zawadi zetu
12:30pm (saa sita na nusu mchana) tutaanza bonaza letu la michezo mbali mbali……………….
………..to be continued
Kwa mawasiliano zaidi na kuchangia chochote kitu wasiliana na event coordinator Marco Mzumbe 0652 988 181
“USIKOSE USIKOSE KESHO IYOOO MAPEMAAA”
Tukutane Mbezi Inn woteee
K**a unakumbuka mchezaji yeyote apo mtaje kwenye comment😂
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Website
Address
Dar Es Salaam