ELIMU KWA WOTE

ELIMU KWA WOTE

Share

TUNATOA MAFUNZO MBALIMBALI, UJUZI WA MAISHA , UTATUZI WA CHANGAMOTO MBALIMBALI. PIA STORY ZINAACHILIWA HAPA. HAKIKA HUTAKOSA KITU

18/05/2026

Types of teachers and their characteristics
1. History - hawa hawananga kazi, kazi yao ni kula na kuform group classes wanawapea past papers..Alafu hawa wanakuag k**a catalyst ukikosa na upelekwe staffroom wanakuja kuchangia 2🥹
2. Chemistry -hawa ni wengine very idle kazi yao ni kukatia wasichana kila class wanakuanga na Dem Alafu wanakua class na macho ya red utadhani wamemeza HCL👋👋
3. CRE-hawa wanangonjea wazazi wakufe waanze kuchangisha pesa na hawakuangi wameokoka though wanapreach😂😂
4. Biology - hawa ndo pekee wanafaa kuwa wanalipwa wanafunza vizuri lakini tukifika chapter ya reproduction wanarukaruka🥺🥺
5. Kiswahili - hawa unawapelekea complains siku ya Monday wanakuambia uongee kiswahili utadhani ni wao waliandika kamusi🤞🤞
6. Business - hawa hudhani wanategeneza pesa utasikia welcome to the world of money ni k**a wanafanya kazi bank
7. Physic - hawa kazi yao ni kuvaa vile wanataka unaeza Dhani ni mtu wa kenya power alipigwa shock akifanya practicals🥺😂😂
8. Mathematics - hawa hawamalizangi syllabus kila siku ni we need extra time to teach na wanakuanga kiherehere sana na kupeana guidance na fake motivation
9. Agriculture - hawa hukuwa wamesota na mkianza kugawiwa shamba za project anakukatia kadogo utadhani ni mtu wa lands😂😂😂na wanakuanga na kakitambi ka ufala
10. Geography - hawa ukuwa wagumi k**a mawe na maringo utadhani wako sure the earth is spherical 🫣🫣🫣
11. English - hawa k**a ni Dem kazi yake ni kukula na kuslay na maringo miingi utadhani ni yy aliandika dictionary but all English men wataenda heaven 😏🥺
12. Computer - hawa wanajifanyanga kujua kila kitu ata ni k**a ni wao walitegeneza simu na hawakuangi kufunza na wanakuanga na fake partners
13. Home science - hawa wanajua kupika na usafi miingi lakn kwao nyumbani ata hawajui kuosha choo na kupikia mabwana zao🤭🤭
14. PE - hawa kazi yao ni kusweat mpaka matako hawananga kazi ingine
15. French-hawa ni wengine wanabow hudhani juh wanajua french wanaeza rule uko 😂👊
😂😂😂😂

21/04/2026
19/04/2026

No gain without pain

18/04/2026

Ni mwimbaji gani wa nyimbo za injili hautakuja umsahau Kwa uzuri wa vibao vyake?

18/04/2026

Aina za Sindano za Kisukari

Insulini ya Haraka (Rapid-Acting): Hufanya kazi haraka, hutumika kabla ya mlo (k.m., Lispro, Aspart).

Insulini ya Muda wa Kati (Intermediate-Acting): NPH ni mfano mkuu, hutumika mara 1-2 kwa siku.

Insulini ya Muda Mrefu (Long-Acting): Glargine au Detemir.

Insulini Mchanganyiko (Premixed): Mchanganyiko wa insulini haraka na taratibu (k.m., 70/30), hutumika mara 2 kwa siku.

Je wataka kujua zaidi?

18/04/2026

Write briefly about the concept of seed dormancy

18/04/2026

Unaweza mtagi mtu akuunge bundle ? Let's go!!

18/04/2026

Akitoka injinia mwamba ndo nafata sasa

18/04/2026

Kuna uhusiano gani kati ya mapenzi na kazi ya mtu jamani?

18/04/2026

In terms of transfer differentiate sound from light

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address

DAR ES SAALAM
Dar Es Salaam
15101