29/03/2024
Ghomme Girls Secondary School
Dealers: Sales, Promotions,Marketing Research cooperated with different Institute,Producers and others.
29/03/2024
22/08/2022
Mungu Mwenyezi , Bwana wa Majeshi ni msikivu sana hasa pale Mkuu wa Nchi akitoa kilio chake na kuitoa mbele ya madhabahu ya Mungu na kuhamasisha watu wake kumlilia Mungu.
Ndivyo walivyofanya manabii wa kale akiwemo Ibrahimu, Musa, na Mfalme Daudi.
Namuunga mkono ℅ zote.
Tusiache kumuomba Mungu, tuendelee kuchua tahadhari k**a wataalam wa afya wanavyotuelekeza.
Hakika tunaweza kuacha kumkimbilia Mungu atuhepushe na gonjwa hili na kuanza kukimbia hata ibada.
Mungu tuhepushie mbali na Gonjwa hili la Corona Virus.Mungu kakuongoza na kusema ubii huu wa ushindi ktk kuliondoa gonjwa hili la ajabu nchini kwetu na Dunia kwa ujumla.
©
27/03/2020.
Hadi kututhibitishia mgonjwa anavyoendelea.
Hii imepunguza hofu na taharuki kwetu wananchi, Mh. Waziri Ummy Hongera, Mungu awaponye wagonjwa wote waligundulika na maambukizi ya Corona Virus na usisambae nchini kwetu.
ILA UGONJWA HUU UMETOA SOMO KWA NCHI ZETU ZINAZOENDELEA.
Fomu zipo kwa kidato cha I na V na wanaotaka kuhamia!
Click here to claim your Sponsored Listing.