Welcome all members who went through Ematundu primary get united purposely to assist a young life from Ematundu primary to reach where you are
Ematundu Primary Alumni
This group was created mainly to bring together the students of ematundu primary school
Kindly those with interest drop your phone number for a serious whatsapp group
Kindly post here your phone number for the purpose of forming EMATUNDU WHATSAP GROUP
21/09/2019
FANYA HAYA KWA MUME WAKO.
1. Muite kwa jina lake la utani
2. Muache atumie mamlaka yake k**a
kichwa cha nyumba.
3. Usimcheke akiwa ameumizwa na
jambo fulani. 4. Kaa kimya pale anapokuwa na hasira.
Unaweza ukaenda kumuomba msamaha
na kumueleza kwanini ulimkosea pale
hasira zinapokua zimemuisha.
5. Kuwa na haraka ya kuomba msamaha
pale unapokosea, sisitiza juu ya msamaha na mbusu pale
anapokusamehe.
6. Ongelea mazuri yake na yeye kabla
ndugu, jamaa na marafiki hawajafanya
hivyo.
7. Waheshimu wazazi wake. 8. Msisitize kuhusu kwenda kuwasalimia
wazazi wake na kuwapelekea chochote.
Na afanye hvyo na kwa wazazi wako pia.
9. Msuprise kwa chakula akipendacho,
hasa kipindi kile anapokuwa na msongo
wa mawazo. Na kamwe usimcheleweshee chakula chake.
10. Usiruhusu dada wa kazi amhudumie
chakula mume wako ukiwa nyumbani.
11. Mkaribishe kwa kumkumbatia
anapotoka kwenye mihangaiko yake.
Msaidie mizigo aliyokuja nayo au hata begi.
12. Tabasamu pale unapomtizama, vaa
vizuri na jipendezeshe pale mnapotoka
wote kwenda kwenye warsha mbalimbali.
13. Mpigie simu na umwambie kwamba
unampenda na umemkumbuka 14. Muamshe asubuhi na umpe romance
kiasi kwamba ifike hatua ya kuhitaji, mpe
na hata jishughulisha na wanawake
wengine siku hiyo.
15. Kamwe usithubutu kutamka kuwa
hakuridhishi na tendo la ndoa. Tafuta njia muafaka ya kufikisha ujumbe wako.
16. Mwambie ni kiasi gani una bahati
kuwa nae k**a mume wako.
17. Mkumbatie tu bila sababu yoyote ile.
18. Mshukuru Mungu kwa kukupa Adamu
wako katika maisha yako. 19. Kumbuka kumuombea na kumkabidhi
mikononi mwa Mungu.
20. Tengenezeni utaratibu wa familia
nzima kumshukuru Mungu kwa pamoja
kila asubuhi na usiku kabla ya kulala.
Mungu abariki ndoa yako. Mlio single Mkapate wapenzi wenye mapenzi ya
kweli leo na daima.
Na wasio serious na mahusiano
wanaokupotezea muda wako wajikatae
kwako mapema ili wasikuzibie nafasi ya
kutimiza kusudi la Mungu kwako. Kwanini tusiseme "Amen"!
SHARE
No one reached where you are self. Appreciate those who made you reach there
DEAR OLD STUDENTS OF EMATUNDU PRIMARY SCHOOL, I WISH TO INFORM YOU ALL THAT EMATUNDU PRIMARY SCHOOL ALUMNI IS ALIVE AND WELCOME WITH SUGGESTIONS OF ACTIVITIES
OF THE MEMBERS HEREIN
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the school
Website
Address
P. O. BOX 41 KHWISERO
Kakamega
50135