07/05/2024
Mkuu wa KKKT Dayosisi ya kaskazini Kati Askofu Dkt.Godson Abel Mollel akizungumza ofisini kwake yenye makao yake jijini Arusha mara baada ya kutembelewa na mkuu wa mkoa wa Arusha Paul makonda
Askofu Dkt Godson Mollel ameitaka serikali kusimamia haki na kurejesha haki iliyoporwa aidha aliongezea kwa kusema wajibu wa kiongozi yeyote katika jamii,katika serikali na kanisa ni kusimamia haki.