22/02/2026
DUA YA KUTOKA NYUMBANI.
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Riyadh Swaliheen Kisw, Education Website, Arusha, Arusha.
22/02/2026
DUA YA KUTOKA NYUMBANI.
25/01/2026
DAIMA USIACHE KUSALI
Dua ya kutoka nyumbani
Transliteration:
Allahumma inni a‘udhu bika an adhilla aw udhalla, aw azilla aw uzalla, aw azlima aw uzlama, aw ajhala aw yujhala ‘alayya.
Maana kwa Kiswahili:
Ee Mola wangu, najikinga Kwako nisije nikapotea au nikapotoshwa, nikateleza au nikatelekezwa, nikafanya dhulma au nikadhulumiwa, nikafanya ujinga au kufanyiwa ujinga.
1. Dua ya Kuamka Asubuhi
Kwa Kiarabu:
> الْـحَمْـدُ لِلَّهِ الَّذِي أَحْيَانَا بَعْدَ مَا أَمَاتَنَا وَإِلَيْهِ النُّشُورُ
Transliteration (matamshi):
> Alhamdu lillaahil-ladhi ‘ahyaanaa ba’da maa amaatanaa wa ilayhin-nushoor.
Maana kwa Kiswahili:
> Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu Ambaye ametufufua baada ya kutufisha (usingizini), na kwake ndiko kufufuliwa (siku ya mwisho).
:
Assalaama alaykum, naomba jawabu k**a kuna wakati maalum na siku maalum au mchana au usiku kumeelezwa kuwa bora katika kufanya kitendo cha kujaamiiana kati ya mume na mke katika mafundisho ya uislamu na k**a kuna siku ama makruh au haramu na k**a kuna maelezo yanayoshauri kufanya kitendo hicho. Kwani kuna misemo k**a hiyo inatembea katika baadhi ya mitandao lakini nahofia huenda sio ya kiislamu thabiti
Shukran
:
Sifa zote njema Anastahiki Allah Mtukufu, Swalah na salamu zimfikie kipenzi chetu, Mtume Muhammad (s.a.w.w.), Ahli zake na Maswahaba zake (r.a.) na Watangu Wema na waliowafuata kwa kheri mpaka Siku ya Kiyama.
Shukrani kwa swali hilo lenu kuhusu wakati unaofaa wa tendo la ndoa baina ya mume na mke.
Kwa hakika hakuna wakati maalumu uliowekwa kwa ajili ya kustarehe baina ya wanandoa. Wakati wowote ambao mutakuwa muko tayari munaweza kukutana, mchana au usiku, Jumamosi, Jumatatu au siku nyingine yoyote.
Na kwa hakika Mtume (s.a.w.w.) amewahimiza wake wawe ni wenye kuwatekelezea waume zao haja hiyo ya kindoa hata k**a mwanamke alikuwa akipika, aache na amtimizie mumewe matamanio yake.
Na ameeleza ikiwa mwanaume ametoka nje ya nyumba na akakutana na mwanamke na akavutiwa naye sana basi arudi haraka kwa mkewe ili apate kumtosheleza na hivyo kuondoa ile dhamira mbaya moyoni mwake.
Na Allah Anajua zaidi.
: Je Mke Anapata Dhambi Akimkatalia Mumewe Kitendo Cha Ndoa Kwa Ajili Ya Machofu Ya Kazi..?
; ✍comment ya Kwanza👇