Nemuviwa
Neno la Mungu kwa Vijana na Watoto
Mwangalizi mkuu wa NEMUVIWA akigawa Vitabu vya kufundishia Vijana na Watoto Mkoani Lindi Nchini Tanzania.
06/12/2022
Hili ni tukio la Waalimu wa Vijana na Watoto kutoka Madhehebu mbalimbali Mkoani Arusha Jumamosi tarehe 03/12/2022 wakiwa wanagaiwa vitabu vya kufundishia Watoto Makanisani, Shuleni, Mtaani, kwenye vituo vya kulea Watoto yatima na maeneo mengine walipo Watoto baada ya Semina yao ya siku moja iliyoendeshwa na Viongozi wa Huduma ya NEMUVIWA Awaichi Sahara, Rev. Charles Mrema, Rev. Jerome Mallya na Mwl Elibariki Mollel kwenye Kanisa la TAG Calvary Temple Kilombero Arusha Mjini.
03/12/2022
NEMUVIWA . huduma ya Neno la Mungu kwa Vijana na Watoto
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Arusha
ARUSHA