0757958215
Chuo Cha Ufundi Stadi "Pm Institute of Tourism"
PM College.... tunatoa mafunzo Kwa watu wote
07/12/2021
16/07/2021
0757958215
29/09/2020
Karbu Chuo Cha Ufundi "PM INSTITUTE of TOURISM"
12/07/2020
Uongozi wa Chuo Cha Ufundi Stadi "Pm Institute of Tourism" kilichopo Maji ya Chai- Arusha, Pia Chuo chetu kingine Kinapatikana MAHINA- MWANZA. Kinawatangazia nafasi za masomo kwa Mwaka 2020-2021, ngazi ya Cheti (Certificate) kwa muda wa mwaka 1 au 2. Chuo kimesajiliwa na Serikali kwa usajili no: IAE/OS/0654. Chuo Kinamazingira Bora ya Usomaji, na kina Walimu wazoefu wanaofundisha kwa vitendo zaidi, pia Ada zetu ni nafuu x**a na zinalipwa kwa awamu (kidogo kidogo). Masomo yatolewayo Kuanzia Sasa ni K**a ifuatavyo:- 1. Tourism Management and Tour guiges, 2. Tour Operation and Travel Agency, 3. International Hotel Management, 4. Business Studies, 5. Secretarial Skills, 6. Information and Communication technology (ICT), 7. Sales and Marketing, 8. Motor- Vehicle Driving, 9. Dressing and Beauty, 10. Computer in Office Application, 11. QT and PC, 12. Tailoring and Needle work, 13. International Languages:- English, French and German, 14. Primary and Secondary- Tuition Center. Fomu za kujiunga zinapatikana Chuoni pia tunaweza kukutumia kwa Whatsap. Mabweni (Hostel) zipo kwa wanaohitaji. Wahi Sasa ujiunge na Masomo, wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:- 0757958215, 0785468200, 0624460816, 0718958215. Email address pminstituteoftourismgmail.com. WEKEZA KATIKA ELIMU. KARIBUNI SANA.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Arusha
Opening Hours
| Monday | 07:30 - 20:00 |
| Saturday | 07:30 - 16:00 |