15/05/2024
Wewe unajua kweli kutengeneza mamlaka?
You Have Digital Dreams. We Make Them Come True Through Our Different Digital Courses with the use of Swahili language.
#thesocialmediaacademy
15/05/2024
Wewe unajua kweli kutengeneza mamlaka?
27/02/2024
Haya maswali yatakuongoza katika utengenezaji wa content za huduma/bidhaa yako mtandaoni📌
07/02/2024
Darasa la Digital Influence like A Pro linalofanyika kwa mwaka mara moja tu liko tayari na linakujia hivi karibuni.
Je uko tayari?
30/01/2024
Mwezi huu wa pili uanze KIBABE SANA📌💪🏾
K**a hujui nini u-post kwenye page yako, hii ni KWAAJILI YAKO🫵🏾
15/01/2024
Ili kuongeza engament, hivi ni vitu muhimu vya kufanya baada ya kutuma post yako mpya mtandaoni.
Je tumekusaidia?
07/12/2023
Nani inamkuta hii muda huu?
Tafadhali, usiache kuuza ujuzi wako kwasababu hupati likes, au comments.
Siku ya kutoboa mtandaoni itakufikia k**a utani. Na wapo watu hawa-like au ku-comment kwenye kazi yako ila wanafatilia unachokifanya☺️
Usikate kamba njiani😊
22/11/2023
Vitu gani vitano vingine umewahi kuvifanya ulipoanza kutumia mitandao?
12/11/2023
Tuambie hapa chini, AI tool gani unaenda kuanza kutumia😎?
06/11/2023
Hivi ndivyo namna ambayo IDRIS SULTAN anaweza kujitofautisha kwenye mitandao ya kijamii.
30/10/2023
Hivi ndivyo ambavyo Ndg. Jokate Urban Mwegelo anajitengenezea strong personal brand kwa njia ya mtandao.
21/10/2023
Nani anakubaliana na sisi? 😂
Ujasiriamali ni mzuri sana ila UKISIMULIWA.
12/10/2023
Mtandaoni igiza k**a unaongea na watoto wadogo.
Andaa chakula, kisage, walishe, kazi yao wao ni kumeza tu sio KUFIKIRI.
Tunachomaanisha ni maudhui yako, hakikisha yanaelezea umuhimu wa bidhaa zako. Usifikirie watu wanajua, HAWAJUI.
Elezea kila inapobidi namna mbalimbali wanaweza faidika na huduma yako. Usiwafanya wafikiri.