Winfredy Mfilinge

Winfredy Mfilinge

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Winfredy Mfilinge, Education, Mbezi Beach Shaurimadai Street near Stanford House, Dar es Salaam.

15/12/2023

Mambo ya kuzingatia unaponunua Ardhi isiyopimwa

11/03/2023

Kupatana pande zote mbili za mgogoro wa ardhi ni muhimu sana kabla ya kwenda mahak**ani. Kupatana huku kunaweza kufanywa na pande zenyewe mbili au kwa kumwita msuluhishi wanayemwamini.

Photos from Winfredy Mfilinge's post 08/03/2023

Heri ya siku ya wanawake duniani.

26/02/2023

Bila shaka umekuwa na jumapili njema.

Photos from Winfredy Mfilinge's post 24/02/2023

MAJOR CITIES IN AFRICA

According to the ranking report of Knight Frank 2021/2022. Dar es Salaam was ranked the 4th without a view of Tanzanite Bridge.

23/02/2023

Shughuli zote za kiuchumi zinazolenga kujipatia kipato na mali zina uhusiano fulani na ardhi.

22/02/2023

Mvamizi akivamia eneo lako, ni muhimu kuchukua hatua za kisheria mapema sana. Nasisitiza NI HATUA ZA KISHERIA DHIDI YA MVAMIZI k**a vile kutafuta haki mahak**ani.

Photos from Winfredy Mfilinge's post 20/02/2023

Mount Kilimanjaro
TANZANIA

19/02/2023

Happy Sunday

14/02/2023

Happy Valentine to everyone.

12/02/2023

Aina ya majirani wanaomzunguka mmiliki wa ardhi husika ni muhimu sana kwa sababu majirani wanaweza kuamua hatima ya maisha ya baadaye ya mmiliki. Kupitia kisa hiki katika Biblia, Nabothi alipoteza maisha yake Kwa sababu ya aina ya jirani aliyekuwa naye karibu na shamba lake la mizabibu.

Jirani yake Mfalme Ahabu alilipenda eneo la Nabothi na akataka amwachie eneo lile na yeye ampe shamba lingine au amlipe fedha. Na sababu yake kubwa ilikuwa ni kwa sababu shamba la Nabothi liko jirani na nyumba yake ya kifalme. Na Ahabu alitaka ambadilishie eneo lingine au alinunue kwa fedha yoyote ambayo Nabothi angetaja ili mradi yeye alipate shamba. Lakini Nabothi alikataa kumpa Ahabu shamba kwa sababu lile shamba lilikuwa ni urithi wa baba zake. Kilichofuata, endelea kusoma 1Wafalme 21: 5-27.

09/02/2023

USIMAMIZI MZURI WA JENGO/ MILKI KUU

Ni ile timu ya usimamizi inayohakikisha;

1. Hakuna au Kuna kiwango kidogo sana cha nafasi ambazo hazijajazwa na wapangaji (Chini ya 5%)

2. Wapangaji wana furaha na wameridhika.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Mbezi Beach Shaurimadai Street Near Stanford House
Dar Es Salaam