Taifa Online International School

Taifa Online International School

Share

We measure the knowledge of the students for secondary level with their own device, regardless of wh

01/05/2023

Happy Labour Day! Today, we celebrate the hard work and dedication of workers everywhere.

01/05/2023

To all the workers out there: thank you for your contributions to society, and for making the world a better place.

01/05/2023

Happy Labour Day! Today, we celebrate the hard work and dedication of workers everywhere.

09/04/2023

We wish you a blessed and peaceful Easter 2023 filled with love, joy and hope. Wishing you and your family a very happy Easter !

09/03/2023

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)

Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.

Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihan wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

Ada zetu:
Tsh 50,000 kwa mwezi
Tsh 500,000 kwa mwaka (Punguzo)

Tunapatikana
Acacia Estates, 1st Floor
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam,
United Republic Of Tanzania

05/03/2023

𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐃𝐈𝐆𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈, 𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐔𝐊𝐈𝐖𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐇𝐔𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐓𝐄𝐍𝐀, 𝐔𝐍𝐀𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐂𝐇𝐄𝐓𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐎 𝐂𝐇𝐀 𝐅𝐎𝐑𝐌 𝟒 𝐀𝐔 𝐅𝐎𝐑𝐌 𝟔 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐌𝐓𝐈𝐇𝐀𝐍𝐈 𝐖𝐀 𝐍𝐄𝐂𝐓𝐀.

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)
Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.
Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihani wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma.

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

𝐀𝐝𝐚 ðģ𝐞𝐭ðŪ 𝐧ðĒ 𝐧𝐚𝐟ðŪðŪ ðĪ𝐰𝐚 ðĪðŪðģðĒ𝐧𝐠𝐚𝐭ðĒ𝐚 ðŊðĒ𝐠𝐞ðģðĻ 𝐧𝐚 ðĄðšðĨðĒ ðē𝐚 ðŪðœðĄðŪðĶðĒ 𝐰𝐚 𝐎𝐚𝐎𝐚 𝐰𝐚 ðĶ𝐭𝐚𝐧ðģ𝐚𝐧ðĒ𝐚, 𝐍𝐚 ðŪðģðŪðŦðĒ 𝐧ðĒ ðĪ𝐰𝐚ðĶ𝐛𝐚 ðĄðšðŪðĨðĒðĐðĒ 𝐚𝐝𝐚 ðē𝐚ðĪðĻ ,ðĐ𝐚ðĪ𝐚 ðŪðĢðĒðŦðĒððĄðĒðŽðĄðž 𝐧𝐚 ðĄðŪ𝐝ðŪðĶ𝐚 ðē𝐞𝐭ðŪ ðĪ𝐰𝐚𝐧ðģ𝐚 (𝐔𝐞ðĨ𝐞ðĪ𝐞ðģ𝐰𝐞 𝐧𝐚 ðŪ𝐞ðĨ𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐚ðĶ𝐧𝐚 ðĶ𝐟ðŪðĶðĻ ðĄðŪðŪ ðŪ𝐧𝐚ðŊðēðĻ 𝐟𝐚𝐧ðē𝐚 ðĪ𝐚ðģðĒ 𝐧𝐝ðĒðĐðĻ ðŪ𝐭𝐚ðĨðĒðĐðĒ𝐚 𝐚𝐝𝐚)

Tunatoa huduma zifuhatazo huduma zifuatazo:
𝟏Ėē:Ėē Ėē𝐃ĖēðĒĖē𝐎Ėē𝐭Ėē𝐚Ėē𝐧Ėē𝐜Ėē𝐞Ėē ĖēðĨĖē𝐞Ėē𝐚ĖēðŦĖē𝐧ĖēðĒĖē𝐧Ėē𝐠Ėē/ ð—Ķð—ĩ𝘂ð—đð—ē 𝗎ð—Ū 𝗠𝘁ð—Ūð—ŧð—ąð—Ū𝗞ð—ŧð—ķ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html

𝐙𝐈𝐍𝐆𝐀𝐓𝐈𝐀: 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ 𝟐𝟎 𝐰𝐚 ðĪ𝐰𝐚𝐧ðģ𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚ðĪ𝐚ðĻ 𝐜ðĻðĶðĶ𝐞𝐧𝐭 𝐧𝐞𝐧ðĻ 𝐧ðĒðĐðĻ 𝐭𝐚ðē𝐚ðŦðĒ au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (𝐖𝐚𝐭𝐚𝐎ðĻðĶ𝐚 𝐊𝐰𝐚 ð†ðĄðšðŦ𝐚ðĶ𝐚 ðē𝐚 ð“ðŽðĄ 𝟏𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎/= 𝐌𝐰𝐚ðĪ𝐚 ðĶðģðĒðĶ𝐚/ ðĄðšð°ðšð­ðšðĨðĒðĐ𝐚 𝐀𝐝𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚) 𝐃𝐚ðŦ𝐚𝐎𝐚 ðĄðĒðĨðĒ 𝐧ðĒ ðģðŪðŦðĒ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚ðĻðĢðĒ𝐞𝐧𝐝𝐞ðĨ𝐞ðģ𝐚 𝐚ðŪ 𝐚ðĶ𝐛𝐚ðĻ ðĄðšð°ðšðĪðŪ𝐟𝐚𝐧ðē𝐚 ðŊðĒðģðŪðŦðĒ ðĪ𝐚𝐭ðĒðĪ𝐚 ðĶðĒ𝐭ðĒðĄðšð§ðĒ ðē𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟒 𝐧𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟐 𝐚ðŪ 𝐰𝐚ðĨðĒðĻ ðĒðŽðĄðĒ𝐚 𝐝𝐚ðŦ𝐚𝐎𝐚 ðĨ𝐚 𝟕 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐭𝐚ðĪ𝐚 𝐰𝐚𝐎ðĻðĶ𝐞 ðĶðĐ𝐚ðĪ𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟒

ðŸŪ: 𝗧ð—Ūð—ķð—ģð—Ū 𝗞ð—ŧð—đð—ķð—ŧð—ē ð—ē𝘅ð—Ū𝗚𝘀
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html

𝟑: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ ðĨðĒ𝐛ðŦ𝐚ðŦðē.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online... (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)

𝟒: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ 𝐭ðŪðĒ𝐭ðĒðĻ𝐧
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

𝟓: 𝐊ðŪðĢðĒ𝐟ðŪ𝐧ðģ𝐚 ðĪðĒðŽð°ðšðĄðĒðĨðĒ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐠𝐞𝐧ðĒ.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

𝟔: 𝐁ðĻðĻðĪ 𝐚𝐧𝐚ðĨðē𝐎ðĒ𝐎.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

𝟕: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ 𝐊ðŪ𝐞𝐎𝐭ðĒðĻ𝐧 𝐚𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐎𝐰𝐞ðŦ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

𝐙𝐈𝐍𝐆𝐀𝐓𝐈𝐀: T𝐚𝐚𝐎ðĒ𝐎ðĒ ðĒ𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐚𝐭ðĒðĨðĒ𝐚 ðĶ𝐚𝐞𝐧𝐝𝐞ðĨ𝐞ðĻ ðē𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ 𝐰𝐚ðĪ𝐞 𝐧𝐚 ðĪðŪ𝐭ðĻ𝐚 ðĶ𝐚𝐭ðĻðĪ𝐞ðĻ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚ðĪ𝐚𝐭ðĒ ðĐðĒ𝐚 𝐭ðŪ𝐧𝐚𝐰𝐚𝐭𝐚𝐟ðŪ𝐭ðĒ𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ ðŊðĒ𝐭ðŪðĻ ðŊðĒðģðŪðŦðĒ ðŊðē𝐚 ðĪðŪ𝐟𝐚𝐧ðēðĒ𝐚 ðĶðĒ𝐭ðĒðĄðšð§ðĒ ðē𝐚ðĻ ðē𝐚 𝐍𝐄𝐂𝐓𝐀, 𝐔𝐎ðĒðĨðĒðĐðĒ𝐞 ðĄðŪ𝐝ðŪðĶ𝐚 ðēðĻðēðĻ𝐭𝐞 ðĪðŪðĐðĒ𝐭ðĒ𝐚 𝐧𝐚ðĶ𝐛𝐚 ðē𝐚 𝐌𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐀𝐔 𝐓𝐈𝐆𝐎 𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐀𝐔 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎 𝐖𝐎𝐖𝐎𝐓𝐄 𝐖𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐏𝐀𝐒𝐈𝐏𝐎 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐋𝐀 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐒𝐂𝐇𝐎𝐎𝐋 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐄𝐊𝐀𝐍𝐀, 𝐏𝐈𝐀 𝐔𝐒𝐈𝐋𝐈𝐏𝐈𝐄 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐋𝐀 𝐔𝐉𝐀𝐉𝐈𝐑𝐈𝐃𝐇𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐍𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐈𝐎𝐍𝐀.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam
Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842
Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

05/03/2023

Leo tunatoa nafasi kwa wanafunzi 30 watakao wai kucomment neno "NALIPIA KABLA YA TAREHE 10" kwa kufanya hivyo utalipia 100,000/= badala ya 500,000/= utasoma bure mwaka mzima

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)

Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.

Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihan wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

Kiufupi tunatoa huduma zifuatazo:

1: Distance learning( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalim yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi.

Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/sec-registration.html


2: Taifa online exams. Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/exam.html


3: Taifa online school library. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika.
Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online-library.html

4: Taifa online school tuition hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili binyeza link hii (Maandishj haya ya Blue https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

5: Kujifunza kiswahili kwa wageni. Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya Tsh 800,000/= kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

6: Book analysis. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

7: Taifa online school question and answer. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

ZINGATIA: taasisi inafuatilia maendeleo ya wanafunzi wake na kutoa matokeo kwa wakati pia tunawatafutia wanafunzi vituo vizuri vya kufanyia mitihani yao ya NECTA, Usilipie huduma yoyote kupitia namba ya MPESA AU TIGO PESA AU MTANDAO WOWOTE WA SIMU PASIPO JINA LA TAIFA SCHOOL KUONEKANA, PIA USILIPIE HUDUMA KABLA UJAJIRIDHISHA NA HUDUMA KWA KUIONA.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari 0652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

05/03/2023

𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐃𝐈𝐆𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈, 𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐔𝐊𝐈𝐖𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐇𝐔𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐓𝐄𝐍𝐀, 𝐔𝐍𝐀𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐂𝐇𝐄𝐓𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐎 𝐂𝐇𝐀 𝐅𝐎𝐑𝐌 𝟒 𝐀𝐔 𝐅𝐎𝐑𝐌 𝟔 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐌𝐓𝐈𝐇𝐀𝐍𝐈 𝐖𝐀 𝐍𝐄𝐂𝐓𝐀.

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)

Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.

Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihan wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

𝐀𝐝𝐚 ðģ𝐞𝐭ðŪ 𝐧ðĒ 𝐧𝐚𝐟ðŪðŪ ðĪ𝐰𝐚 ðĪðŪðģðĒ𝐧𝐠𝐚𝐭ðĒ𝐚 ðŊðĒ𝐠𝐞ðģðĻ 𝐧𝐚 ðĄðšðĨðĒ ðē𝐚 ðŪðœðĄðŪðĶðĒ 𝐰𝐚 𝐎𝐚𝐎𝐚 𝐰𝐚 ðĶ𝐭𝐚𝐧ðģ𝐚𝐧ðĒ𝐚, 𝐍𝐚 ðŪðģðŪðŦðĒ 𝐧ðĒ ðĪ𝐰𝐚ðĶ𝐛𝐚 ðĄðšðŪðĨðĒðĐðĒ 𝐚𝐝𝐚 ðē𝐚ðĪðĻ ,ðĐ𝐚ðĪ𝐚 ðŪðĢðĒðŦðĒððĄðĒðŽðĄðž 𝐧𝐚 ðĄðŪ𝐝ðŪðĶ𝐚 ðē𝐞𝐭ðŪ ðĪ𝐰𝐚𝐧ðģ𝐚 (𝐔𝐞ðĨ𝐞ðĪ𝐞ðģ𝐰𝐞 𝐧𝐚 ðŪ𝐞ðĨ𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐚ðĶ𝐧𝐚 ðĶ𝐟ðŪðĶðĻ ðĄðŪðŪ ðŪ𝐧𝐚ðŊðēðĻ 𝐟𝐚𝐧ðē𝐚 ðĪ𝐚ðģðĒ 𝐧𝐝ðĒðĐðĻ ðŪ𝐭𝐚ðĨðĒðĐðĒ𝐚 𝐚𝐝𝐚)

Tunatoa huduma zifuhatazo huduma zifuatazo:

𝟏Ėē:Ėē Ėē𝐃ĖēðĒĖē𝐎Ėē𝐭Ėē𝐚Ėē𝐧Ėē𝐜Ėē𝐞Ėē ĖēðĨĖē𝐞Ėē𝐚ĖēðŦĖē𝐧ĖēðĒĖē𝐧Ėē𝐠Ėē/ ð—Ķð—ĩ𝘂ð—đð—ē 𝗎ð—Ū 𝗠𝘁ð—Ūð—ŧð—ąð—Ū𝗞ð—ŧð—ķ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html

𝐙𝐈𝐍𝐆𝐀𝐓𝐈𝐀: 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ 𝟐𝟎 𝐰𝐚 ðĪ𝐰𝐚𝐧ðģ𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚ðĪ𝐚ðĻ 𝐜ðĻðĶðĶ𝐞𝐧𝐭 𝐧𝐞𝐧ðĻ 𝐧ðĒðĐðĻ 𝐭𝐚ðē𝐚ðŦðĒ au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (𝐖𝐚𝐭𝐚𝐎ðĻðĶ𝐚 𝐊𝐰𝐚 ð†ðĄðšðŦ𝐚ðĶ𝐚 ðē𝐚 ð“ðŽðĄ 𝟏𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎/= 𝐌𝐰𝐚ðĪ𝐚 ðĶðģðĒðĶ𝐚/ ðĄðšð°ðšð­ðšðĨðĒðĐ𝐚 𝐀𝐝𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚) 𝐃𝐚ðŦ𝐚𝐎𝐚 ðĄðĒðĨðĒ 𝐧ðĒ ðģðŪðŦðĒ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚ðĻðĢðĒ𝐞𝐧𝐝𝐞ðĨ𝐞ðģ𝐚 𝐚ðŪ 𝐚ðĶ𝐛𝐚ðĻ ðĄðšð°ðšðĪðŪ𝐟𝐚𝐧ðē𝐚 ðŊðĒðģðŪðŦðĒ ðĪ𝐚𝐭ðĒðĪ𝐚 ðĶðĒ𝐭ðĒðĄðšð§ðĒ ðē𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟒 𝐧𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟐 𝐚ðŪ 𝐰𝐚ðĨðĒðĻ ðĒðŽðĄðĒ𝐚 𝐝𝐚ðŦ𝐚𝐎𝐚 ðĨ𝐚 𝟕 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐭𝐚ðĪ𝐚 𝐰𝐚𝐎ðĻðĶ𝐞 ðĶðĐ𝐚ðĪ𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟒


ðŸŪ: 𝗧ð—Ūð—ķð—ģð—Ū 𝗞ð—ŧð—đð—ķð—ŧð—ē ð—ē𝘅ð—Ū𝗚𝘀
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html


𝟑: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ ðĨðĒ𝐛ðŦ𝐚ðŦðē.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online-library.html (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)

𝟒: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ 𝐭ðŪðĒ𝐭ðĒðĻ𝐧
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

𝟓: 𝐊ðŪðĢðĒ𝐟ðŪ𝐧ðģ𝐚 ðĪðĒðŽð°ðšðĄðĒðĨðĒ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐠𝐞𝐧ðĒ.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

𝟔: 𝐁ðĻðĻðĪ 𝐚𝐧𝐚ðĨðē𝐎ðĒ𝐎.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

𝟕: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ 𝐊ðŪ𝐞𝐎𝐭ðĒðĻ𝐧 𝐚𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐎𝐰𝐞ðŦ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

𝐙𝐈𝐍𝐆𝐀𝐓𝐈𝐀: T𝐚𝐚𝐎ðĒ𝐎ðĒ ðĒ𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐚𝐭ðĒðĨðĒ𝐚 ðĶ𝐚𝐞𝐧𝐝𝐞ðĨ𝐞ðĻ ðē𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ 𝐰𝐚ðĪ𝐞 𝐧𝐚 ðĪðŪ𝐭ðĻ𝐚 ðĶ𝐚𝐭ðĻðĪ𝐞ðĻ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚ðĪ𝐚𝐭ðĒ ðĐðĒ𝐚 𝐭ðŪ𝐧𝐚𝐰𝐚𝐭𝐚𝐟ðŪ𝐭ðĒ𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ ðŊðĒ𝐭ðŪðĻ ðŊðĒðģðŪðŦðĒ ðŊðē𝐚 ðĪðŪ𝐟𝐚𝐧ðēðĒ𝐚 ðĶðĒ𝐭ðĒðĄðšð§ðĒ ðē𝐚ðĻ ðē𝐚 𝐍𝐄𝐂𝐓𝐀, 𝐔𝐎ðĒðĨðĒðĐðĒ𝐞 ðĄðŪ𝐝ðŪðĶ𝐚 ðēðĻðēðĻ𝐭𝐞 ðĪðŪðĐðĒ𝐭ðĒ𝐚 𝐧𝐚ðĶ𝐛𝐚 ðē𝐚 𝐌𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐀𝐔 𝐓𝐈𝐆𝐎 𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐀𝐔 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎 𝐖𝐎𝐖𝐎𝐓𝐄 𝐖𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐏𝐀𝐒𝐈𝐏𝐎 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐋𝐀 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐒𝐂𝐇𝐎𝐎𝐋 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐄𝐊𝐀𝐍𝐀, 𝐏𝐈𝐀 𝐔𝐒𝐈𝐋𝐈𝐏𝐈𝐄 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐋𝐀 𝐔𝐉𝐀𝐉𝐈𝐑𝐈𝐃𝐇𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐍𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐈𝐎𝐍𝐀.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

05/03/2023

𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐃𝐈𝐆𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈, 𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐔𝐊𝐈𝐖𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐇𝐔𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐇𝐔𝐋𝐄 𝐓𝐄𝐍𝐀

Kiufupi wanatoa huduma zifuatazo:

𝟏Ėē:Ėē Ėē𝐃ĖēðĒĖē𝐎Ėē𝐭Ėē𝐚Ėē𝐧Ėē𝐜Ėē𝐞Ėē ĖēðĨĖē𝐞Ėē𝐚ĖēðŦĖē𝐧ĖēðĒĖē𝐧Ėē𝐠Ėē/ ð—Ķð—ĩ𝘂ð—đð—ē 𝗎ð—Ū 𝗠𝘁ð—Ūð—ŧð—ąð—Ū𝗞ð—ŧð—ķ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html

𝐙𝐈𝐍𝐆𝐀𝐓𝐈𝐀: 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ 𝟐𝟎 𝐰𝐚 ðĪ𝐰𝐚𝐧ðģ𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚ðĪ𝐚ðĻ 𝐜ðĻðĶðĶ𝐞𝐧𝐭 𝐧𝐞𝐧ðĻ 𝐧ðĒðĐðĻ 𝐭𝐚ðē𝐚ðŦðĒ au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (𝐖𝐚𝐭𝐚𝐎ðĻðĶ𝐚 𝐊𝐰𝐚 ð†ðĄðšðŦ𝐚ðĶ𝐚 ðē𝐚 ð“ðŽðĄ 𝟏𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎/= 𝐌𝐰𝐚ðĪ𝐚 ðĶðģðĒðĶ𝐚/ ðĄðšð°ðšð­ðšðĨðĒðĐ𝐚 𝐀𝐝𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚) 𝐃𝐚ðŦ𝐚𝐎𝐚 ðĄðĒðĨðĒ 𝐧ðĒ ðģðŪðŦðĒ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚ðĻðĢðĒ𝐞𝐧𝐝𝐞ðĨ𝐞ðģ𝐚 𝐚ðŪ 𝐚ðĶ𝐛𝐚ðĻ ðĄðšð°ðšðĪðŪ𝐟𝐚𝐧ðē𝐚 ðŊðĒðģðŪðŦðĒ ðĪ𝐚𝐭ðĒðĪ𝐚 ðĶðĒ𝐭ðĒðĄðšð§ðĒ ðē𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟒 𝐧𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟐 𝐚ðŪ 𝐰𝐚ðĨðĒðĻ ðĒðŽðĄðĒ𝐚 𝐝𝐚ðŦ𝐚𝐎𝐚 ðĨ𝐚 𝟕 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐭𝐚ðĪ𝐚 𝐰𝐚𝐎ðĻðĶ𝐞 ðĶðĐ𝐚ðĪ𝐚 𝐟ðĻðŦðĶ 𝟒


ðŸŪ: 𝗧ð—Ūð—ķð—ģð—Ū 𝗞ð—ŧð—đð—ķð—ŧð—ē ð—ē𝘅ð—Ū𝗚𝘀
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html


𝟑: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ ðĨðĒ𝐛ðŦ𝐚ðŦðē.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online-library.html (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)

𝟒: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ 𝐭ðŪðĒ𝐭ðĒðĻ𝐧
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

𝟓: 𝐊ðŪðĢðĒ𝐟ðŪ𝐧ðģ𝐚 ðĪðĒðŽð°ðšðĄðĒðĨðĒ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐠𝐞𝐧ðĒ.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

𝟔: 𝐁ðĻðĻðĪ 𝐚𝐧𝐚ðĨðē𝐎ðĒ𝐎.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

𝟕: 𝐓𝐚ðĒ𝐟𝐚 ðĻ𝐧ðĨðĒ𝐧𝐞 ðŽðœðĄðĻðĻðĨ 𝐊ðŪ𝐞𝐎𝐭ðĒðĻ𝐧 𝐚𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐎𝐰𝐞ðŦ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

𝐙𝐈𝐍𝐆𝐀𝐓𝐈𝐀: T𝐚𝐚𝐎ðĒ𝐎ðĒ ðĒ𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐚𝐭ðĒðĨðĒ𝐚 ðĶ𝐚𝐞𝐧𝐝𝐞ðĨ𝐞ðĻ ðē𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ 𝐰𝐚ðĪ𝐞 𝐧𝐚 ðĪðŪ𝐭ðĻ𝐚 ðĶ𝐚𝐭ðĻðĪ𝐞ðĻ ðĪ𝐰𝐚 𝐰𝐚ðĪ𝐚𝐭ðĒ ðĐðĒ𝐚 𝐭ðŪ𝐧𝐚𝐰𝐚𝐭𝐚𝐟ðŪ𝐭ðĒ𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟ðŪ𝐧ðģðĒ ðŊðĒ𝐭ðŪðĻ ðŊðĒðģðŪðŦðĒ ðŊðē𝐚 ðĪðŪ𝐟𝐚𝐧ðēðĒ𝐚 ðĶðĒ𝐭ðĒðĄðšð§ðĒ ðē𝐚ðĻ ðē𝐚 𝐍𝐄𝐂𝐓𝐀, 𝐔𝐎ðĒðĨðĒðĐðĒ𝐞 ðĄðŪ𝐝ðŪðĶ𝐚 ðēðĻðēðĻ𝐭𝐞 ðĪðŪðĐðĒ𝐭ðĒ𝐚 𝐧𝐚ðĶ𝐛𝐚 ðē𝐚 𝐌𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐀𝐔 𝐓𝐈𝐆𝐎 𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐀𝐔 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎 𝐖𝐎𝐖𝐎𝐓𝐄 𝐖𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐏𝐀𝐒𝐈𝐏𝐎 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐋𝐀 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐒𝐂𝐇𝐎𝐎𝐋 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐄𝐊𝐀𝐍𝐀, 𝐏𝐈𝐀 𝐔𝐒𝐈𝐋𝐈𝐏𝐈𝐄 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐋𝐀 𝐔𝐉𝐀𝐉𝐈𝐑𝐈𝐃𝐇𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐍𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐈𝐎𝐍𝐀.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

04/03/2023

Hongera sana kwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana watakao fanya uchechemuzi wa elimu kupitia taasisi ya kimataifa inayoshughulikia elimu duniani (Global Partnership For Education) ambapo mwenyekiti wake ni rais mstafu mheshimiwa

Tunaahidi kupitia shule yetu ya kwanza ya Kidijitali Tanzania tutatoa ushirikiano wetu kwako hasa katika kumuinua mtoto wa k**e katika elimu hasa katika kukamilisha ndoto zao kwa uhuru.

Tumalizie pongezi hizi kwa kusema We educate women because it is smart. We educate women because it changes the world.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Taifa Online International School
Dar Es Salaam