27/04/2020
Mawasiliano check me WhatsApp number
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nussery libraly, Elementary School, mbezi ya kimara, Dar es Salaam.
27/04/2020
Mawasiliano check me WhatsApp number
26/04/2020
NUSSERY SEBURENI KWAKO:
Kwa wazazi wenzangu pamoja na kuwa na wakati huu mgumu wa kipindi cha Corona lakini elimu kwa mtoto haikomi.
Tunavyo vitabu vya watoto wa kuanzia miaka 2-6 vitakavyo mfanya kuwa busy na kuwa na kumbukumbu na shule na kupata maarifa akiwa nyumban.
Mwalimu unaweza kuwa wewe mzazi au vijana wako walio nyumbani na mtoto akaelewa.
VITABU tulivyonavyo.
1. Kujifunza namba kwa lugha ya kiingereza.
2. Kujifunza kusoma herufi kwa kiingereza.
3. Kujifunza kuchora picha za wanyama na mimea.
4. Kujifunza majina ya vitu mbalimbali kwa kiingereza.
5. Kitabu vya michezo ya kuchangamsha ubongo.
NB: Vitabu vinapatikana kwa gharama ya 2000Tsh
WhatsApp number 0685042529
24/04/2020
24/04/2020
Mkinge mtoto mbali na Corona mweke karibu na elimu
Wauzaji wa Vitabu vya watoto wadogo umri miaka 2-6