Nussery libraly

Nussery libraly

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nussery libraly, Elementary School, mbezi ya kimara, Dar es Salaam.

Photos 27/04/2020

Mawasiliano check me WhatsApp number

26/04/2020

NUSSERY SEBURENI KWAKO:

Kwa wazazi wenzangu pamoja na kuwa na wakati huu mgumu wa kipindi cha Corona lakini elimu kwa mtoto haikomi.

Tunavyo vitabu vya watoto wa kuanzia miaka 2-6 vitakavyo mfanya kuwa busy na kuwa na kumbukumbu na shule na kupata maarifa akiwa nyumban.

Mwalimu unaweza kuwa wewe mzazi au vijana wako walio nyumbani na mtoto akaelewa.

VITABU tulivyonavyo.

1. Kujifunza namba kwa lugha ya kiingereza.

2. Kujifunza kusoma herufi kwa kiingereza.

3. Kujifunza kuchora picha za wanyama na mimea.

4. Kujifunza majina ya vitu mbalimbali kwa kiingereza.

5. Kitabu vya michezo ya kuchangamsha ubongo.

NB: Vitabu vinapatikana kwa gharama ya 2000Tsh

WhatsApp number 0685042529

Photos 24/04/2020
Photos from Nussery libraly's post 24/04/2020

Mkinge mtoto mbali na Corona mweke karibu na elimu

Wauzaji wa Vitabu vya watoto wadogo umri miaka 2-6

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Mbezi Ya Kimara
Dar Es Salaam