06/02/2024
📌Habari njema kwa Wanafunzi wote 👇👇
Mkuu wa Chuo cha afya na sayansi shirikishi EAST EVAN kilichopo KIGAMBONI DAR ES SALAAM.
📌Anawatangazia wanafunzi wote ambao wanahitaji kujiunga na chuo kwa mkupuo wa MARCH INTAKE kuwa Dirisha la usajili lipo wazi kwa kozi za Biashara.
📌Kutuma maombi yako bonyeza link hapa chini 👇
https://forms.gle/XX79h8o6BLgNPnBf9
Au
Tuma maombi yako moja kwa moja kupitia 👉👉 www.collegeapp.ac.tz
📠📞 Wasiliana nasi moja kwa moja piga simu 0676722621
22/01/2024
Habari njema kwa wahitimu wa kidato cha Nne sasa unaweza kusoma ukiwa na Ufaulu wa alama D mbili na kuendelea mpaka ukahitimu Degree Vyuo vikuu.
Chuo cha afya na sayansi shirikishi EAST EVAN kilichopo KIGAMBONI DAR ES SALAAM tunakupa nafasi ya kutimiza ndoto zako katika kozi mbali mbali;
📌Jiunge nasi kwa kozi zifuatazo👇👇
✅Laboratory Assistant (Afisa Msaidizi wa Maabara)
✅Business Operation Assistant (Afisa Biashara Msaidizi)
📌Kumbuka ufaulu ni kuanzia alama D mbili na kuendelea
📌Kujisajili lipa Tzs 10,000/= kwenda lipa namba 5543361(EAST EVAN)
📠📞 Wasiliana nasi moja kwa moja piga simu 0676722621
✅ TEMBELEA WEBSITE YETU👉👉. www.ecohas.ac.tz
18/11/2023
📌Je Ufaulu wako ni wa D mbili nakuendelea na hujui njia ya kujiendeleza mpaka uhitimu degree vyuo vikuu?.
📌 Karibu ujiunge nasi kwa kozi ambazo zipo chini ya VETA
1. LABORATORY ASSISTANT
-Ufaulu kidato cha Nne alama D mbili katika masomo yoyote ambayo sio ya Dini
2. BUSINESS OPERATION ASSISTANCE (BOA)
-Ufaulu kidato cha Nne alama D Moja kwa somo lolote ambalo sio la Dini
Tupo Kigamboni Dar es salaam.
Kwa mawasliano zaidi Tupigie Simu 0676722621