15/09/2024
MWENYEKITI IMARA WA UVCCM TAIFA
CDE. M .A .KAWAIDA
Neno moja kwake....✍️
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from sylivestershady, Education, Msimbazi Street, Dar es Salaam.
15/09/2024
MWENYEKITI IMARA WA UVCCM TAIFA
CDE. M .A .KAWAIDA
Neno moja kwake....✍️
03/09/2024
UKIMYA PIA NI LUGHA IJAPOKUWA WENGI HAWAIELEWI
MB_ MAFINGA MJI & NW MAMBO YA NJE
26/08/2024
KIONGOZI BORA HUTOKA KWA MUNGU 🙏
25/08/2024
Mratibu Mkuu TK Taifa ndugu. pamoja na Mratibu TK Mafinga Mji _Iringa tukiwa kwenye picha ya pamoja kwenye uzinduzi wa TK Movement Mkoa wa Iringa
Nb. CDE MAGAMBO ALINIELEZA YAKUWA
Cheo nidhamana ya kuwatumikia wananchi na hatupaswi kubeza Mitazamo ya Watu wengine , lakini pia alinieleza yakuwa Usipoteze undugu au Urafiki ulio ujenga kwa siku nyingi etii kwasababu ya fedha, kukatishwa tamaa ama kudhohofishwa na waovu ,hivyo tushikamane pamoja kwa ujenzi wa Taifa letu 🙏✍️🇹🇿
25/08/2024
Wakati wa Mungu ni Wakati Sahihi 🙏✍️
Ahsante wana IRINGA Mmeitwa mkaitika 24 08 2024
14/08/2024
📍 ZIARA YA MRATIBU WA TK MOVEMENT MAFINGA MJI CDE. _SHADRACK KIBIKI_ ALIAMBATANA NA HAMASA WA TK MOVEMENT MAFINGA MJI _NDG.CHRISTOPHER MKOMA_ KATIKA KATA YA UPENDO MTAA WA UPENDO _14/08/2024_ 📍
>Kugawa tisheti za TK Movement kwa wanachama hai wa TK Movement.
>Tumewajuza wananchi wa mtaa wa upendo kuhusu Umuhimu wa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa*
> Tumewaeleza wananchi Utekelezaji wa Miradi iliyotolewa na Raisi mpendwa dkt Samia Suluhu Hassan katika Mtaa wao.
>Tumewaeleza vyema Habari za Mikopo ya 4 4 2 pamoja na BBT
>Tumesajili wanacha* *wapya kwenye Mfumo wa Elektroniki _Tk App
> Tumewakalibisha katika uzinduzi wa TK Mkoa wa Iringa Utakao fanyika tarehe 24/08/2024
🔥 _Imetolewa_ Ofisi ya Mratibu TK Mafinga Mji_Iringa 🔥
10/08/2024
📍 📅 09Aug2024 📍
KONGAMANO LA VIJANA UVCCM MUFINDI
🔥 Harakati za Mtu mweusi 🔥🙏
Kuna wakati tunapaswa kukaa kimya ili kujifunza kwa walio kwisha tutangulia ✍️
04/08/2024
NUKUU ZA MNEC TAIFA MH SALIM ABRI (ASAS)
KATIKA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA MUFINDI.
"Kiongozi anatoka kwa Mungu "
03/08/2024
Nimeshiriki vyema kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Wilaya ya Mufindi siku yaleo , kikao hicho kilichofanyika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM Wilaya kikiongozwa na MNEC TAIFA MH ASAS .
Ametuhasa mengi sana ikiwepo kutukumbusha ya kuwa Wanachama yeyote huruhusiwi kununuliwa na mtu awaye yeyote mwenye maslahi yake binafsi au dhamira yakutaka nafasi fulani katika maeneo mbalimbali n.k
01/08/2024
🔥 🔥 SGR .......DAR TO DOM 🔥🔥🔥