22/12/2022
Deep
Deen/Education/Teachings/Hadith/Reminders
22/12/2022
Deep
20/10/2022
Wisdom β€οΈ
14/10/2022
Just pray everything will be fine
25/09/2022
Imekuwa tabia yetu kuamini kila kinachotokea katika maisha yetu ya kila siku ni mipango ya Mungu, kuna wakati jitihada zako binafsi zinaweza kuwa na nafasi kubwa katika kubadili mfumo mzima wa maisha yako⦠Mungu husubiri kuona mabadiliko ndani yako kisha baraka zake hushuka na kuwa sehemu ya maisha yako
Zingatia na amini wewe ni moja ya sehemu kubwa sana ya maisha yako
23/09/2022
Read again and again
20/09/2022
Ukiamua kuipa nafasi dunia ikuonyeshe upande sahihi na ukayaruhusu maisha yako kuishi kulingana na nyakati, kaa ukitambua ipo siku utafurahia maamuzi yako na kuona ubora kwa kila hatua katika maisha yako
18/08/2022
Hakuna mwanadamu aliemkamilifu basi ni wajibu wa kila mmoja wetu kuomba msamaha kwa yale yasiyomkamilisha kwa namna yeyote ile,
Hii ni moja ya namna ya kuweza msamaha kwa mola wetu katika yale mapungufu yetu ya kibinadamu
15/08/2022
Kawaida ya mwanadamu kutafuta mtu wa kumlaumu kwa nafasi fulani hii ni sababu ya namna ambavyo tumeumbwa mara chache sana na watu wachache sana wenye uwezo wa kutambua uchangiaji wao katika jambo fulaniβ¦
Ni wazi na kila mmoja wetu a napaswa kutambua ya kuwa haijalishi katika nini ila mara nyingi maamuzi huwa ni yako na matokeo mara zote husababishwa na kile ambacho umekiamua mwenyewe kuliko kile ambacho kimesababishwa na mtu mwingine ndani ya maamuzi yako!!
Wewe ndio sababu ya kila kinachotokea ndani ya maisha yako! Kuwa na maamuzi sahihi hakuna kitu kirahisi katika hii dunia!
Everything has a price you have to pay
Watch this
Angalia hii
14/07/2022
NINE GOLDEN RULES EXTRACTED IN QUR'AN FROM SURATUL (HUJURAT).
*1. "Fa Tabayyanu":*
Investigate: when you receive an information,
lest you harm people out of ignorance.
*2. "Fa Aslihu"*
Make settlement: between your brothers as believers are brothers.
*3. "Wa Aqsitu":*
Act justly: whenever there is a dispute try for settlement and act justly among both parties as Allah loves those who act justly.
*4. "La Yaskhar":*
Don't ridicule people, perhaps they may be better than you to Allah.
*5. "Wa La Talamizu":*
Do not insult one another.
*6. "Wa La Tanabazu":*
Do not call each other with offensive nicknames.
*7. "Ijtanibu Kaseeran minaz-Zan":*
Avoid negative assumptions, indeed some of the assumptions are sins.
*8. "Wa La Tajassasu"* :
Do not spy on each other.
*9. "Wa La Yagtab":*
Do not backbite each other. Its a major sin equivalent to eating your dead brother's flesh.
WHAT A FOOD FOR THOUGHT MY BROTHER'S & SISTER'S.
May Allah guide us, protect us and make it easy for us and our love ones . Aaaamin.,
πππππππππ
*Laiti mtoa sadaka angejua kwa yakini kwamba sadaka yake inapokelewa kwa Mwenyezi Mungu kabla ya kuingia mkononi mwa masikini,ingekuwa ladha ya mtoaji....ni kubwa kuliko ladha ya mpokeaji..*
*-Ibn alqayyim*
Je unajua faida ya kutoa sadaka?
Sikilizeni enyi watoa sadaka, nyinyi na ambao wanasaidia kufikisha sadaka..
1- *Sadaka ni mlango miongoni mwa milango ya pepo*
2-Sadaka ni bora ya matendo mema, na sadaka bora ni kulisha chakula
3- *Sadaka inamfunika kivuli mtoaji na inamuondosha kwenye moto*
4-Sadaka inazima ghadhabu za Mola na joto la kaburi
5- *Sadaka ni jambo bora la kumzawadia maiti na inamfaa zaidi, na Mola anaitunza*
6-Sadaka ni usafisho, na utakaso wa nafsi na huongeza mema
7- *Sadaka ni sababu ya furaha kwa mtoa, na ni sababu ya kung'ara uso wake siku ya kiama*
8- Sadaka inaleta amani kutokana na hofu siku ya fazaa kubwa, na humfanya mtoa sadaka asipatwe na huzuni
9- *Sadaka ni sababu ya kughufiriwa dhambi na kusamehewa makosa*
10- Sadaka ni miongoni mwa bishara za mwisho mwema na sababu ya dua ya Malaika
11- *Mtoa sadaka ni mbora wa watu, na sadaka thawabu zake ni kwa kila aliyeshiriki*
12- Mwenye kutoa sadaka ameahidiwa kheri nyingi na ujira mkubwa
13- *Kutoa ni miongoni mwa sifa za wacha Mungu, na sadaka ni sababu ya mapenzi ya waja wa Mola kwa mtoa sadaka*
14- Sadaka ni ishara miongoni mwa ishara za ukarimu na alama miongoni mwa alama za ukarimu na wema
15- *Sadaka ni sababu ya kukubaliwa dua na kuondoshewa matatizo*
16- Sadaka inaondoa balaa na inaziba milango sabini ya mabaya ya dunia
17- *Sadaka inazidisha umri na mali, na ni sababu ya riziki na nusra*
18- Sadaka ni ponya, dawa, na shifaa
19- *Sadaka inazuia moto, gharika, wizi, na inazuia kifo kibaya*
20- Sadaka ujira wake ni ule ule japo ukitoa kwa wanyama au ndege..
*π΄Na sadaka bora ni ile unayoifanya sasa.. ni kueneza maneno haya kwa nia ya sadaka kwani kila anayetekeleza maneno haya na akawafundisha wanaokuja, basi ujira wake uko kwa Mola wake kwa idhini yake*π΄