25/03/2026
*🌙FUNGA YA (SIKU) SITA ZA MFUNGO MOSI🌙* SEHEMU YA KWANZA
📝Imam Ibnu Rajab Al-Han-baliy - Allâāh amrehemu -:
_*"Kurudia kufunga baada ya funga ya Ramadhani ni alama ya kukubaliwa (ibada ya) funga ya Ramadhani. Kwa sababu Allâāh pindi anapokubali amali (fulani) ya mja, basi humwezesha (humuafikisha kutekeleza) amali njema baada yake"*_
https://whatsapp.com/channel/0029VbC3z6F17En3ZUrGfq1J
10/03/2026
Mtume muhammad: "Itafuteni Laylatul Qadr katika masiku kumi ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani'
08/03/2026
Alisema mwanachuoni Ibnu Baaz -Allâāh amrehemu- kuhusu kurefusha kucha kuwa:
"Suala la kurefusha/kufuga kucha, ni lenye kukinzana na Sunnah. (Bali) kuna kujifananisha na wanyama (mbuawe) na baadhi ya makafiri"
06/03/2026
AS-SALĀMU ÃLAYKUM WARAHMATULLĀHI WABARAKĀTUHU.
NDUGU ZANGU DIRISHA LA USAJILI WA WANAFUNZI WA DINI WA ONLINE LIPO WAZI KATIKA KITUO CHETU CHA MOSA.
Mwenye kuhitaji anitafute kwa namba hii WhatsApp +255743637088
07/01/2026
*0000049:UJUMBE WA LEO📩*
🔥UBAYA WA UZUSHI KATIKA DINI
📌Alisema Mwanachuoni mkubwa Ibn 'Uthaymiin (Allaah amrehemu) kuhusu kuzua katika dini:
*"Jambo la kuzusha (ibada zisizo fundishwa na kutokuwa na mfano kutoka kwa maswahaba) katika dini (hii) kwa hakika ni kumdhihaki Allaah. Kwasababu (wewe ukizua ibada) unajikurubisha kwake kwa kitu ambacho yeye hajakiweka sheriani"*