Umesikia kuhusu childhood trauma?
Umewahi kuadhibu watoto baadae ukagundua hata halikuwa kosa lao ni baadae unajuta na kujilaumu.
Umewahi kujiapiza kimya kimya au kwa sauti wanangu hawatapitia haya NITAWALINDA,NITAWAPA KILA KITU,MIMI MWANANGU HATAKAA KWA WATU…hizi herufi kubwa zoteee ni wewe wa utotoni aliyeumia ni wachache huwapa watoto wao raha ambazo sio KINGA DHIDI YA
Umewahi kutazama malezi k**a FURSA ya kupita utotoni kwako kujipa pole na kutengeneza KINGA YENYE AFYA kwa wanao,
Kwamba huwakingi na uliyopitia ila unawajengea uwezo wao kutoishi machungu yako na maumivu yako,Yes UKIPONA UNAWEZA hii inaitwa KUJILEA wewe taratibu,ukianza kuona wanakutonesha kumbukumbu mbaya za utoto wako andika chini ni kitu gani TAFUTA MSAADA maana tunalea tulivyo na tunatoa tulivyo
Wewe mwenyewe ni shahidi ulilelewa kwa kelele na sasa unalea kwa kelele na kuna mtoto hapo ana kelele k**a zako kwa wenzie🙌🏻😌
Boresha Elimu Hub
We empower Secondary school girl's through Education
10/03/2026
Swipe right!!
07/03/2026
In celebration to 2026 Women’s Day let me celebrate with a story.
During our second women and girls conference named (SISTERLY CIRCLE), we decided to launch a fundraising effort to visit schools, donate stationery, and deliver inspiring talks to students.
Unbeknownst to us, God had even greater plans. While selecting which secondary school to visit, launched the ‘DARE TO CHANGE TANZANIA’ competition. We participated, and BORESHA ELIMU ranked among the top ten finalists, marking the beginning of this journey.
I celebrate all women who participated in those conferences.
Look at the seed you planted,it has grown and impacted many young minds. Today, many women continue to play key roles in developing the inspiring content and programs you see and read here.
Kudos and cheers!
07/03/2026
Go East..Go West
HOME IS THE BEST..
Sometimes HOME is a person!
Hizi ni kauli ambazo tunakutana nazo sana
Kwamba nenda mashariki,magharibi NYUMBANI NDIPO BORA NA SALAMA
Na wakati mwingine NYUMBA si jengo ila ni MTU aliye sehemu ya SALAMA na KIMBILIO
✅K**a mzazi jitahidi kuwa mahali pa salama kwa watoto wako,fikika,wajiskie salama kuwa na wewe,mikono yako iwakumbatie,maneno yako yawaumbe na kuwajenga ili hata watakapotikiswa na maisha au changamoto wakumbuke sauti yako kwamba wao ni bora na wanaweza💪wathibitishie kwa kauli na uwepo wako kwamba wanaweza kukutumaini na utawapokea bila vizuizi.
✅K**a mzazi Tengeneza amani,utulivu na furaha NYUMBANI ili watoto wako wajisikie salama, nyumbani isiwe tena eneo la vita wanalopaswa kukimbia wakatafute hifadhi mahala pengine.
Tunaweza kufanya hili💪
Be a home
Make a home
📌Leo naomba niwashukuru wazazi wangu they are an inspiration behind this post,niliumwa sana kwa miaka mingi lakini kilichofanya nipo na naendelea mbele they had been my home and made a home💪
Nimesogea kiumri ila hizi kumbukumbu zote za utoto ninazo their presence,endless support and affirmations(I am so loved and grateful)
05/03/2026
Since it is a women’s month,
We bring to you Captain Neema Swai,
Soaring clouds through clouds for 17 years,
📌She is a flight chief pilot and is currently flying the only cargo aircraft for Tanzanian Airlines.
📌Boeing 766-300F is the type of aircraft she flies
Kadri tunavyojifunza malezi ya watoto naona jambo moja linalorudia sana BALANCE(uwiano) kuhakikisha hauzidishi au haupunguzi kwenye unalofanya.
K**a ni ukali uwe wa wastani
K**a ni upendo usipitilize
K**a ni kudekeza basi kusilete ulemavu na kero
Wengi wanaosema(ga) “wanangu hiki,wanangu,wanangu ni kina mama na hatuwahukumu inaeleweka bond yenu na watoto inaanza mbali sasa wengine hii huwa inazidi sasa,ndio wale umri ukisogea anapata shida ya kuwa “mkwe” maana hakubali mwanae nae alishakuwa ajitegemee kimaamuzi na kimaisha.
Hii huwa inaanzia huku chini(unhealthy bond) isipokatwa mizizi ndio gudubai
’tjudge
02/03/2026
Watoto huwa na ndoto zao kulingana na umri waliopo,
Leo anaweza kusema ninataka kuwa Rais,kesho akasema Mchungaji,wiki inayofata akasema nataka masuala ya fasheni na akabaki hapo!
Usipaniki,usivunje mbawa zake ghafla wewe umeshavuka hapo unajua kabisa ndoto na uhalisia
Kumbuka kauli yako moja inatosha sana kumjenga au kumubomoa
Angalia steji aliyopo mwanao halafu zungumza nae kwa upole na mwongozo chanya
Wale wa hatua ya sekondari shirikisha waalimu wake wa darasa na taaluma ili ujue masomo anayosoma na ndoto alizonazo yanashabihiana asiwe daktari ajae ila yupo masomo ya sanaa na biashara.
Kuna somo zuri na mfano halisi linakuja stay tuned hapa kwenye kurasa yetu
Dunia haijawahi kubadilika inabadilishwa!
Ni wakati wa kuwajengea uwezo watoto wako kuishi katika ulimwengu huu huu wenye mambo ya kutisha,
Aweze kujisimamia,kujiongoza na kujitegemea.
📌Wanapobezwa watu wenye maadili ya kusema HAPANA SITASHIRIKI NGONO KATIKA UMRI mdogo aweze kusimama na HAPANA yake,
📌Wanaponyanyasika aweze kujisimamia,kujitetea na kupaza sauti bila woga na hofu,
Mjenge kisha mpe ruhusa ya kufanya ulichomfunza.
Mruhusu ili uuone uwezo wake na utashi wake unapoishia!!
✅Mzazi bora ni yule ambae anayo hakika hata akifumba macho yake watoto wake wataishi na kujisimamia!!
Boresha Elimu Hub We empower Secondary school girl's through Education
23/02/2026
Kuna mtaala mpya sasa,
Hili lilikuwa hitaji la muda mrefu sana,
Elimu inayotoa zaidi ya elimu,
K**a mzazi jielimishe pia uweze kuendana na mabadiliko na umsaidie na kumuongoza mtoto wako kulingana na mabadiliko haya.
📌Kuifikia ni lazima mzazi ushiriki kujua yanayoendelea ili usiwe nyuma,
Usiseme nilishampeleka shule🚩
Usiseme mengine ni ya waalimu na serikali🚩
Jifahamishe na shiriki hatua hatua ili upate matokeo bora✅
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Website
Address
Dar Es Salaam