Mount Elites School Tz

Mount Elites School Tz

Share

Mount Elites School Tz is the school that Mount students especially QTs, Form IV and VI Re-sitters from Zero to the peak of success Education.

We also provide you a best & quality education for different courses including Languages & Computer course.

17/04/2025

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Zuchu ameonesha kuvutiwa na singeli ya ‘Afande’ iliyoimbwa na Dogo Paten.

Wimbo huo wa Singeli ambao umekuwa ukifanya vizuri kwenye mtandao wa Tiktok umemfikia Zuchu na kumfanya aombe kolabo ya wimbo huo. “Aya nampa remix namtafuta,” ameandika Zuchu

Aidha kwa upande wa Paten amemshukuru Zuchu kwa kutambua kipaji chake. “Hakuna mafanikio rahisi kikumbwa kupambana, nashukuru sana hii kubwa kwangu,” Paten

Ikumbukwe Dogo Paten alianza kufahamika baada ya kufanya remix ya wimbo wa Marioo ‘Salio’.

Photos from Mount Elites School Tz's post 29/12/2021

YA MOUNT ELITES TANZANIA inatangaza nafasi za Masomo kwa Muhula mpya wa Masomo mwaka 2022 kwa Watahiniwa wa Kujitegemea yaani Maarifa (QTs) na Wanaorudia Mitihani ya Kidato cha 4 & 6. RASMI: TAR 3/01/2022.
KWA PRE-FORM 5, HOSTEL NI GHARAMA NAFUU.
ZETU NI NAFUU SANA ZINALIPWA KWA AWAMU 3.
TUPO: TEMBONI, SARANGA MWISHO MTAA WA JAMES, JIRANI NA BOSS LADY. : 0752 309 999 au 0659 309 999

01/08/2020

MOUNT ELITES SCHOOL TANZANIA ni shule inayotoa Elimu ya Sekondari huria kwa miaka 2 kwa wanafunzi wa QT na Re-sitters(wanaorudia mtihani wa kidato cha 4 na 6)
Pia kuna kozi za kompyuta na kujifunza lugha za kigeni.
Tupo: MBEZI LOUIS, KIBANDA CHA MKAA, MTAA WA MAGONGO. JIJINI DAR ES SALAAM.
WASIALIANA NASI: 0716 804 496 & 0752 309 999.

01/08/2020

TUNAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA WATAHINIWA WA KUJITEGEMEA YAANI QT NA WANAORUDIA MTIHANI WA KIDATO CHA 4 NA 6.
COMPUTER COURSE NA TUITION KWA VIDATO VYOTE.
TUPO: MBEZI LOUIS, KIBANDA CHA MKAA, MTAA WA MAGONGO.DAR ES SALAAM.
WASILIANA NASI: 0716 804 496 & 0752 309 999.

27/06/2020

SHULE YA MOUNT ELITES SCHOOL INAWATANGAZIA NAFASI ZA USAJILI WA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA NNE NA QT MWAKA 2020, NJOO TUKUSAJILIE, MWISHO WA USAJILI NI TAREHE 5/7/2020. WAHI SASA NAFASI ZIMEBAKI CHACHE.

21/06/2020

MOUNT ELITES SCHOOL, WE BUILD YOUR FUTURE.

FOR MORE DETAILS CONTACT US NOW: 0716 804 496, 0752 309 999.

20/06/2020

ZIFAHAMU SIFA ZA KUJIUNGA NA MASOMO YA ELIMU YA SEKONDARI HURIA KWA MIAKA 2 YAANI KIDATO CHA 3 NA 4 KWA MWAKA 1) NA KIDATO CHA 5 NA 6 KWA MWAKA 1.
SHULE YA MOUNT ELITES IPO MBEZI LOUIS, KIBANDA CHA MKAA,DAR ES SALAAM.
TUPIGIE: 0716 804 496, 0752 309 999.

20/06/2020

ZIFAHAMU SIFA ZA KUJIUNGA NA KUSOMA ELIMU YA SEKONDARI KWA MIAKA 2 YAANI QT (KIDATO CHA 1 NA 2 KWA MWAKA 1) UKIFAULU UTASOMA KIDATO CHA 3 NA 4 KWA MWAKA 1.
SHULE YA MOUNT ELITES IPO MBEZI LOUIS, KIBANDA CHA MKAA,DAR ES SALAAM.
TUPIGIE: 0716 804 496, 0752 309 999.

18/06/2020

SHULE YA MOUNT ELITES TANZANIA Inawatangazia nafasi za Masomo kwa mwaka 2020/2021 kwa wanafunzi wa QT na RE-SITTERS (wanaorudia Mtihani wa Kidato cha 4 & 6) na wanaojiunga kozi za Lugha na Computer. Karibuni.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


TEMBONI/SARANGA MWISHO MTAA WA HEKIMA, JIRANI NA KWA BOSS LADY
Dar Es Salaam
16113

Opening Hours

Monday 09:00 - 22:00
Tuesday 08:00 - 22:00
Wednesday 08:00 - 22:00
Thursday 08:00 - 22:00
Friday 08:00 - 22:00
Saturday 13:00 - 20:00
Sunday 13:00 - 20:00