19/03/2026
Binti yake alilelewa kituoni hapa na sasa yuko darasa la nne.
Aksante sana ,Mungu aendelee kumtunza binti yetu huko aliko
Day care and English Medium school in Tanzania that receives children from 2 to 5 years
KITAN is special because our Main focus is on Kids Talents Nurturing.
For More info call us
0672553720 visit us at Mbezi kibanda Cha Mkaa,
19/03/2026
Binti yake alilelewa kituoni hapa na sasa yuko darasa la nne.
Aksante sana ,Mungu aendelee kumtunza binti yetu huko aliko
19/03/2026
Tupo kuwahudumia watoto wote.
17/03/2026
wajibu wetu k**a walezi na wazazi ni kuwasaidia watoto wetu kutambua ndoto zao katika umri huu ili wajiandae kuyakabili maisha ya za usoni.Leo tunafurahi kupata vijana watakaojenga majumba na mabinti wapambaji kumbi za sherehe.Tunaimani watasaidiwa kuziishi ndoto zao👏👏👏👏👏
w
watoto wetu faraja yetu.Hivi ndivyo tunafanya kuwaanda watoto wawe farja ya wazazi,ni furaha iliyoje kuwa na mtoto chapa kazi namna hii.Inawezekana tukianza nao mapema.Kitan daycare tunashirikia na wewe mzazi kumwandaa mtoto mapema,karibu sana umlete mtoto wako hapa
UMBALI SIO SABABU,TUNAMFUATA MTOTO.
NA KUMRUDISHA NYUMBANI
11/04/2025
Tukiwafundisha watoto wetu,kujitoa walivyonavyo kwa ajili ya wengine,tunajenga TAIFA IMARA LENYE UPENDO WA DHATI.
10/04/2025
Madaktari wetu wakielekezwa namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeumia.Ndoto huwa halisi,inawezekana,tuwasaidie kutimiza ndoto zao
19/03/2025
Kesho ya mtoto huanzia hapa,vijana hawa ni madaktari wa kesho,tuwahimize watoto wetu kujua kesho yao LEO