20/06/2023
Dirisha la Usajili wa wanafunzi kwa Muhula wa septemba liko wazi ,
EastAfrica College of Business Tunakuhakikishia kukupatia elimu ya ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa vitendo kabisa , yaani kwa wanafunzi watakao chukua kozi ya Business Administration kwa ngazi ya Diploma na Certificate.
Lakini pia tumeandaa vitendea kazi na miundo mbinu wezeshi kwa wanafunzi wanaochukua kozi ya information Technology kuhakikisha wanamaliza Elimu yao wakiwa wabunifu na uwezo kwenye masomo ya vitendo yani Kutengeneza tovuti / website , kutengeneza Mifumo / System development , Application Development , Digital marketing , system security pamoja na Networking
Chagua East Africa College of Business
kwa uhakika wa kuajiriwa na kujiajiri 📑🚀
Tunapatikana Chang'ombe jirani na Veta
+255 766 342 755
21/04/2023
Tunawatakia Eid Mubarak waislamu wote 🙏
11/04/2023
Maarifa ni msingi mkuu wa mafanikio yako,
ongeza maarifa yako kupitia mafunzo ya muda mfupi yanayotolewa katika Chuo chetu cha
East Africa college of Business
JISAJILI SASA.
Wasiliana nasi 0766 342755
11/04/2023
Register Now.
For Short Course
* Jisajili sasa kwa Mafunzo ya Muda mfupi*
Ongeza uwelewa na weledi katika shughuli zako za kila siku.
07/04/2023
Tunawatakia Maadhimisho mema ya siku ya Karume 7, April
25/03/2023
Je una D-4 katika ufaulu wako wa kidato cha nne , Sasa unaweza kujiunga na masomo katika chuo cha East Africa College of Business (EACB).
Kwa ngazi ya :
- DIPLOMA &
- CERTIFICATE
Katika kozi zifuatazo
- Business Administration
- Information technology
Wanafunzi 40 wa kwanza kujisajili watapata nafasi ya scholarship. Wahi sasa nafasi ni chache. Utakua sponsored kwa kiwango cha Asilimia 20% ya Ada.
-
Wahi sasa nafasi ni chache
Namba za ofisi ; +255 766 342 755
Email : [email protected]
Website : www.eacb.ac.tz
22/03/2023
Tunawatakia mwezi mwema mtukufu wa ramadhani Allah awafanyie wepesi waislam wote 🙏
10/03/2023
Uongozi wa chuo cha East Africa College of Business kilichopo chang'ombe jirani na Veta kinakutangazia nafasi za masomo kwa ngazi ya certificate na diploma , Mwisho wa usajili ni tarehe 12/03/2023.
Katika kozi zifuatazo
- Business Administration &
- Information and communication technology (ICT)
........
Kwa maelezo zaidi fika chuoni
au piga simu ya ofisi +255 766 342 755 .
Tembele touti ya chuo www.eacb.ac.tz
Email ya chuo: [email protected]
09/03/2023
Uongozi wa chuo cha East Africa College of Business kilichopo chang'ombe jirani na Veta kinakutangazia fursa za masomo yaani (scholarship) kwa ngazi ya certificate na diploma , Mwisho wa usajili ni tarehe 12/03/2023.
Katika kozi zifuatazo
- Business Administration &
- Information and communication technology (ICT)
................................................................
Kwa maelezo zaidi fika chuoni
au piga simu ya ofisi +255 766 342 755 .
Tembele touti ya chuo www.eacb.ac.tz
Email ya chuo: [email protected]
20/09/2022
Ni mafunzo yatakayo Ambatana na namna ya kukua na kuweza kujiendesha kwenye swala zima la ujasiriamali, Wakufunzi wataeleza mbinu mbadala ambazo zitakupa mwamko mkubwa na uelewa madhubuti juu ya Ujasiriamali,
Ewe kijana ewe Mjasiriamali ni Fulsa yako sasa kujisajili na uweze kuongezewa maarifa yatakayo kufikisha kwenye kilele cha mafanikio.
FAIDA ZA KONGAMANO HILI LA MAFUNZO
✍️kupanua uelewa kwa wa jasiriamali, wote .
🪛 Kueleza namna ya uthubutu kwa vijana na wajasiriamali wote
✍🏾 kuelezea mbinu mbadala za kuweza kujipatia mtaji kwa wajasiliamali
✍🏾Mbinu zitakazo weza kutengeneza mtandao mzuri wa biashara yako
✍️ Ni namna gani unaweza wasiliana biashara yako sokoni na ikaleta taswira chanya pasipo tegemea
✍️Namna ya kutafuta masoko ya biashara yako
✍️Jinsi au namna ya kutumia Fulsa k**a mjasiriamali.
✍️ Tutafundisha swala zima la ujasiri wa kibiashara na namna ya kuiwasilisha biashara yako kwenye masoko
✍🏾Tutafundisha ni kivipi unaweza kutumia mtandao k**a sehemu ya kupata wateja na mauzo ya biashara
✍️ Tutafundisha namna ya kutambua bidhaa / biashara yako katika ushindani wa Masoko.
NJOO UPATE ELIMU KUTOKA KWA WAFANYA BIASHARA NA WAKUFUNZI MASHUGHURI WALIO BOBEA KWENYE ELIMU YA UJASIRIAMALI .
MAFUNDISHO HAYA YATAFANYIKA
Tarehe 24.09.2022
Siku ya Jumamosi
🛑 Fanya usajili :
kwenye hii link na Utapata mwongozo wa namna
Ya kufanya malipo
http://bit.ly/3RKyyoB
Maelezo zaidi tupigie simu namba 0769 947634
JISAJILI SASA
Jaza taarifa zako zote Muhimu kutokana na fomu inavyohitaji