tanbusinesschannel

tanbusinesschannel

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from tanbusinesschannel, Education, Kijitonyama, Kajenge Street, Dar es Salaam.

Tan Business Channel imeanzishwa kwa madhumuni ya kuwapa habari na kuwaelimisha wafanyabiashara na Wajasiriamali kupitia videos, vitabu na masomo ya mitandaoni (online training)

25/05/2026

KITABU CHA BIASHARA YA SPARES
Hiki kitabu kinaeleza jinsi ya kuanzisha biashara ya spares ambayo inapata wateja wengi, mapato makubwa na faida, hivyo kuwa biashara endelevu

Ili kusaidia wajasiriamli ambao wanataka kuanzisha biashara ambazo zinapata faida na kuwa endeleveu, tumechapisha hiki kitabu cha biashara ya spares
Kitabu kimegawanywa katika sura 19
1. Kuanzisha biashara
2. Uchaguzi wa biashara
3. Fursa ya kufanya biashara
4. Uchaguzi wa eneo la biashara
5. Ushindani wa biashara
6. Uchaguzi wa wateja wa biashara
7. Uchaguzi wa bidhaa za spare
8. Manunuzi ya spare za magari
9. Plan ya biashara ya spare
10. Kupanga bei za spares
11. Uteuzi wa wafanyakazi
12. Mkakati wa kufanya biashara
13. Mtaji wa biashara ya spare
14. Hesabu za biashara ya spare
15. Matangazo ya biashara
16. Kuanzisha biashara ya spare
Kwa maelezo zaidi kuhusu hiki kitabu wasiliana nasi kupitia WhatsApp Number +255 716 682 439
Sasa unaweza kununua kitabu Online kupitia https://buff.ly/txluITP

25/05/2026

KITABU CHA BIASHARA YA SPARES
Hiki kitabu kinaeleza jinsi ya kuanzisha biashara ya spares ambayo inapata wateja wengi, mapato makubwa na faida, hivyo kuwa biashara endelevu

Ili kusaidia wajasiriamli ambao wanataka kuanzisha biashara ambazo zinapata faida na kuwa endeleveu, tumechapisha hiki kitabu cha biashara ya spares

Kitabu kimegawanywa katika sura 19
1. Kuanzisha biashara
2. Uchaguzi wa biashara
3. Fursa ya kufanya biashara
4. Uchaguzi wa eneo la biashara
5. Ushindani wa biashara
6. Uchaguzi wa wateja wa biashara
7. Uchaguzi wa bidhaa za spare
8. Manunuzi ya spare za magari
9. Plan ya biashara ya spare
10. Kupanga bei za spares
11. Uteuzi wa wafanyakazi
12. Mkakati wa kufanya biashara
13. Mtaji wa biashara ya spare
14. Hesabu za biashara ya spare
15. Matangazo ya biashara
16. Kuanzisha biashara ya spare

Kwa maelezo zaidi kuhusu hiki kitabu wasiliana nasi kupitia WhatsApp Number +255 716 682 439

Sasa unaweza kununua kitabu Online kupitia https://buff.ly/txluITP

18/05/2026

KITABU CHA BIASHARA YA NGUO
Siku zote biashara ya nguo huanzishwa pale mjasiriamali anapoona changamoto wanazokabiliana wateja wa nguo na hivyo kuzigeuza hizo changamoto kuwa fursa

Fursa za kufanya biashara ya nguo zinatokana na changamoto wanazokuwa nazo wateja wa nguo zinazohusu mahitaji yao ya kila siku

Kwa hiyo wajibu wa mjasiriamali ni kutambua hizo changamoto za wateja wa nguo na kuzigeuza kuwa fursa za kufanya biashara

Hiki kitabu kinaeleza changamoto wanazopata wateja wa bidhaa za nguo na jinsi mjasiriamli anavyo weza kutumia hizo changamoto k**a fursa ya kuanzisha biashara ya nguo

Ili kuwa kuwasaidia wajasiriamli ambao wanataka kuanzisha maduka ya nguo,tumechapisha hiki kitabu kwa kutumia lugha nyepesi

Kitabu kimegawanywa katika sura 14
1. Fursa za kuanzisha biashara ya duka la nguo
2. Dhana ya biashara ya nguo
3. Dhamira ya kuanzisha duka la nguo
4. Eneo la kuanzisha duka la nguo
5. Wateja wa duka la nguo
6. Bidhaa za duka la nguo
7. Wafanyakazi wa duka la nguo
8. Ununuzi wa bidhaa za nguo
9. Bei za bidhaa za nguo
10. Vifaa vya duka la nguo
11. Mtaji wa kuanzisha duka la nguo
12. Business Plan ya duka la nguo
13. Kutengeneza Hesabu za biashara ya nguo
14. Matangazo ya biashara ya nguo

Kwa maelezo zaidi kuhusu hiki kitabu wasiliana nasi kupitia WhatsApp Number +255 716 682439

Unaweza pia kupata kitabu online kutumia LINK ambayo iko kwenye Instagram profile

18/05/2026

KITABU CHA BIASHARA YA NGUO

Siku zote biashara ya nguo huanzishwa pale mjasiriamali anapoona changamoto wanazokabiliana wateja wa nguo na hivyo kuzigeuza hizo changamoto kuwa fursa

Fursa za kufanya biashara ya nguo zinatokana na changamoto wanazokuwa nazo wateja wa nguo zinazohusu mahitaji yao ya kila siku

Kwa hiyo wajibu wa mjasiriamali ni kutambua hizo changamoto za wateja wa nguo na kuzigeuza kuwa fursa za kufanya biashara

Hiki kitabu kinaeleza changamoto wanazopata wateja wa bidhaa za nguo na jinsi mjasiriamli anavyo weza kutumia hizo changamoto k**a fursa ya kuanzisha biashara ya nguo

Ili kuwa kuwasaidia wajasiriamli ambao wanataka kuanzisha maduka ya nguo,tumechapisha hiki kitabu kwa kutumia lugha nyepesi

Kitabu kimegawanywa katika sura 14
1. Fursa za kuanzisha biashara ya duka la nguo
2. Dhana ya biashara ya nguo
3. Dhamira ya kuanzisha duka la nguo
4. Eneo la kuanzisha duka la nguo
5. Wateja wa duka la nguo
6. Bidhaa za duka la nguo
7. Wafanyakazi wa duka la nguo
8. Ununuzi wa bidhaa za nguo
9. Bei za bidhaa za nguo
10. Vifaa vya duka la nguo
11. Mtaji wa kuanzisha duka la nguo
12. Business Plan ya duka la nguo
13. Kutengeneza Hesabu za biashara ya nguo
14. Matangazo ya biashara ya nguo

Kwa maelezo zaidi kuhusu hiki kitabu wasiliana nasi kupitia WhatsApp Number +255 716 682439

Unaweza pia kupata kitabu online kutumia LINK ambayo iko kwenye Instagram profile

15/05/2026

KITABU CHA KUANZISHA BIASHARA YA VINYWAJI

15/05/2026

KITABU CHA KUANZISHA BIASHARA YA VINYWAJI

14/05/2026

Je, unataka kuanzisha biashara ya mafuta ya kula lakini hujui pa kuanzia? Katika video hii, Ali Mwambola anakufundisha siri 5 halisi ambazo zinaweza kukusaidia kupata faida ya shilingi 150,000 hadi 300,000 kwa mwezi — hata ukianza na mtaji mdogo wa laki mbili tu.

11/05/2026

BIASHARA YA MATUNDA — MTAJI TSH 50,000 FAIDA TSH 80,000/MWEZI | FRUIT BUSINESS IDEAS

"Elfu themanini kila mwezi — kwa matunda tu. Mtaji wa elfu hamsini tu.
Vijana wengi wanadhani biashara ya matunda ni ya mama ntilie tu, au wazee ambao hawana elimu. Wanadhani biashara hii ni ndogo sana kwa mtu aliyehitimu chuo kikuu.
Unaweza ukawa na degree yako lakini ukabaki nyumbani ukisubiri kazi ambayo haiji. Au unaweza kuanza leo — na mtaji wa elfu hamsini — na kuanza kupata pesa za kweli. Kwa hiyo leo nitakuonyesha jinsi ya kuanzisha biashara ya matunda kwa mtaji mdogo — na zaidi ya hapo, nitakuonyesha siri nne za faida ambazo wengi hawajui."

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


Kijitonyama, Kajenge Street
Dar Es Salaam
2100/A

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00