01/06/2026
🐔 TANGAZO LA MAFUNZO YA UFUGAJI WA KUKU KITAALAMU 🐔
Je, unataka kuanza au kuboresha ufugaji wako wa kuku na kupata faida zaidi?
Basi k**a jibu n ndio,, Karibu kwenye mafunzo ya ufugaji wa kuku kitaalamu yanayohusisha aina zote za kuku, ikiwemo:
✅ Kuku wa Kienyeji
✅ Broiler (Kuku wa Nyama)
✅ Layers (Kuku wa Mayai)
✅ Sasso
✅ Kuroiler
✅ Na aina nyingine mbalimbali za kuku yaani (kuku chotara)
Darasa hili ni la WhatsApp sababu kupitia WhatsApp watu wengi ndio hujifunza Kwa urahisi zaidi na hujifunza Kwa wingi zaidi.
Haya n baadhi ya mambo utakayojifunza endapo utajiunga na kundi hilo la ufugaji wa kuku WhatsApp:
🔹 Ujenzi wa banda bora la kuku
🔹 Uchaguzi wa vifaranga bora
🔹 Lishe na utengenezaji wa chakula cha kuku
🔹 Ratiba za chanjo na tiba
🔹 Utambuzi na udhibiti wa magonjwa
🔹 Mbinu za kuongeza uzalishaji na faida
🔹 Masoko ya kuku na mayai
💰 Haya yote itakuwa n Kwa Ada ya Mafunzo: Shilingi 2,000/= tu kwa mwezi....
Mafunzo haya yanafaa kwa wanaoanza na wafugaji wenye uzoefu wanaotaka kuongeza ufanisi katika ufugaji wao.
📞 Wasiliana nasi kwa namba za Simu WhatsApp 0767037203 ili kujiunga na mafunzo au bonyeza link hapo chini ili uweze kuunganishwa..
https://chat.whatsapp.com/JvMdzPVpFT8EebxMpUV7mn?s=cl&p=a&mlu=3
"Ufugaji wa kisasa ni njia ya uhakika ya kuongeza kipato chako."
12/05/2026
04/04/2026
16/02/2026
16/02/2026
16/02/2026