06/08/2021
Chukua nafasi kutambua ni njia ipi bora ambayo mwanao anaitumia kujifunza mambo, usitumie nguvu nyingi kumfundisha kwa njia zako ambazo hazikidhi mahitaji yako, utakuwa kwenye hatari ya kumfanya mtoto apoteze msukumo wa kujifunza au hata kupoteza uwezo mdogo ambao tayari alikwishaanza upata katika kujifunza kwake.
"Unafanya kazi nzuri, usisite kuiboresha kila inapobidi"
10/11/2020
K**a una iPhone tayari una Podcast App, unachotakiwa kufanya ni kuifungua na kutafuta Usonji Tanzania.
K**a una simu ya Android basi pakua app ya Podbean na baada ya hapo tafuta jina la Usonji Tanzania, utaweza kusikiliza mada zetu kwa undani.
K**a unapata changamoto katika kutafuta hizi Apps, omba msaada kwa mtu wa karibu 🙏🏽
10/11/2020
Wengi wametutumia ujumbe kuwa wanasubiri kuisikiliza hii mada. Sehemu ya nane sasa ipo hewani. Karibuni!
24/07/2020
Episode 5:
Kwa wazazi wenye watoto wenye usonji au watu wenye usonji, kumekuwa na uhusiano wa karibu katika changamoto ya hisia mwili (sensory parts of the body) na mazingira.
•
•
•
Umeshawahi kuona mtoto mwenye usonji anaziba masikio, au macho? Je mtoto anakabiliwa na changamoto za kuchagua chakula? Au pengine mtoto anachagua nguo za kuvaa na hata sehemu za kucheza. Lakini pia kuna muda mtoto anareact kutokana na mazingira (tantrums and other behaviour reactions) na mzazi hujui cha kufanya.
•
•
•
Katika mada ya wiki hii na occupational therapist tunazungumzia hisia mwili (sensory parts) na vichocheo. Karibu!
24/07/2020
Episode 4:
Hali k**a ya Usonji inaweza kuleta mgawanyiko wa familia na kuvunjika kwa imani kati ya watu kwenye familia.
•
•
•
Mila, desturi na dhana potofu huwa ni baadhi ya vichocheo katika kutafuta kujua sababu ya mtoto kuzaliwa na usonji na k**a nyumba au familia haina msingi mzuri inaweza kuleta athari kubwa.
•
•
•
Ni hatua gani wazazi na familia hupitia kiimani katika kutafuta wepesi wa kukabiliana na hali usonji kwa mtoto?
•
•
•
Ungana nasi katika kuangalia kwa undani uhusiano wa imani na hali ya usonji katika jamii
24/07/2020
Episode 3
Usonji/Autism
•
•
•
Je unajua kuwa usonji ni hali na sio ugonjwa? Do you know that Autism is a condition and not disease?
•
•
•
Kwanini inashauriwa kuwa miaka miwili ndio muda sahihi wa kuangalia au kufahamu k**a mtoto ana hali ya usonji? Why is advised that two years old is the right time for a child to be diagnosed or to find out if a child has autism?
•
•
•
Karibu katika sehemu ya tatu ya Usonji Tanzania, katika sehemu hii Dr Kimathy ameelezea kwa undani maana ya Usonji, viashairia na mambo mengine mengi kuhusu usonji.
24/07/2020
Brenda is a mom of a child with autism who decided to advocate in making awareness about autism spectrum disorder.
24/07/2020
Episode 1: Introduction
Katika sehemu ya kwanza, Mfahamu daktari wa mazoezi tiba (Occupational Therapist), Dr Godfrey Kimathy na nini kilipelekea kuamua kujihusisha na watu wenye usonji na mazoezi tiba.
24/07/2020
Karibu kwenye Podcast mpya na ya kwanza Tanzania iliyo rasmi kwa ajili ya kufahamisha na kuelimisha jamii kuhusu hali ya Usonji, wengi wakifahamu kwa kiingereza k**a Autism Spectrum Disorder
•
•
Kwa watumiaji wa iPhone, pakua (download) Podcast app, tunapatikana kwa jina la Usonji Tanzania •
•
•
Kwa watumiaji wa Android, pakua (download) Podbean App, tunapatikana kwa jina la Usonji Tanzania
•
•
Tunapatikana kwenye Instagram Account “Usonji Tanzania”
24/07/2020
Join host Brenda Mihanjo, an advocate in Autism Awareness and Dr Godfrey Kimathy who is Occupational Therapist in the series of episodes about Autism Spectrum Disorder in Tanzanian community.