▪️Hatuokolewi kwa sababu tuna matendo mema,wala matendo mema sio surprise kwa Mungu sababu alituumbia hayo tangu mwanzo.
✍🏼WOKOVU NI KIPAWA,NI ZAWADI,TUNAOKOLEWA KWA NEEMA KWA KUKUBALI KAZI YA YESU MSALABANI.
☑️Matendo mema yana faida sana yakitokana na WOKOVU.
[8 Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9 wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.(Waefeso 2:8-9)]
.
Nsyani E.J
ACCOUNTANT~CPA(T)~PREACHER~AUTHOR
01/06/2023
✝️Jumapili hii,KKKT Mbagala.
▪️SISI TUNAABUDU TUKIJUACHO.Kuna hasara kubwa sana kufanya Ibada kwa Mungu usiye mjua.
[22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Yohana 4:22]
👉🏽Uzima wa milele unadai UMJUE MUNGU NA YESU KRISTO ALIYEMTUMA.
[3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.(Yohana 17:3)]
.
God bless you Pastor Rev Prosper Kinyaha.
28/01/2023
✳️TUMEZALIWA KWA MBEGU ISIYOHARIBIKA.
[23 Kwa kuwa ; , bali kwa ile isiyoharibika; , lidumulo hata milele.(1Petro 1:23)]
THE GRACE OF GOD PREVAILS.✝️
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Majohe, Ilala
Dar Es Salaam