π’ GET PREPARED FOR IDRAS TRAINING β THIS SATURDAY!
TRA inaleta mafunzo ya mfumo mpya wa kodi (IDRAS) yatakayofanyika 30/05/2026 ndani ya TIA, yakihusisha vyuo mbalimbali vyenye jumuiya za kodi Dar es Salaam.
Ni nafasi muhimu ya kujifunza, kupata exposure na kuongeza uelewa wa mifumo ya kisasa ya kodi.
tiaso_dsm
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from tiaso_dsm, Education, Dar es Salaam.
27/05/2026
πβ¨ EID MUBARAK
TIASO DSM inawatakia Waislamu wote Eid yenye furaha, amani na baraka tele π€.
Mwenyezi Mungu akubali ibada zetu na atujaalie umoja, upendo na mafanikio mema.
Eid Mubarak to you and your family.
21/05/2026
ποΈ TAARIFA YA MSIBA
Kwa masikitiko makubwa, familia ya TIA DSM imempoteza mwanafunzi wetu Marion Evarist Minja (DBA), aliyefariki dunia tarehe 20/05/2026 katika Hospitali ya Kairuki, Dar es Salaam.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Moshi, Uru.
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
π€² Apumzike kwa amani.
20/05/2026
KONTENA LA WANACHUO LIMEFUNGULIWA π₯π₯
Dirisha la usajili wa Msimu wa Nane wa Silent Ocean UNI AWARDS umefunguliwa rasmi.
https://uniawards.co.tz/participate.php
Bonyeza Link ya Usajili hapo juu Kujisajili , Tembelea Kurasa zetu za mitandao ya kijamii kwenye bio utakutana na link ukibonyeza itakupeleka sehemu ya kujisajili UTAHITAJI
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba : 0765533034 | 0738743417
SILENT OCEAN UNI AWARDS SEASON 8 π₯
SPECIAL AND SUPPLEMENTARY RESULTS OUT NOW π
πΆπ₯ TTCL UNI WI-FI SASA TIA DSM
TTCL Corporation imefanya ufungaji na ufunguzi rasmi wa huduma za UNI WI-FI ndani ya TIA kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi, ikiwa na vifurushi vya unlimited internet kwa matumizi ya chuo na binafsi.
Rais wa Serikali ya Wanafunzi TIASO DSM amepongeza ujio wa huduma ya TTCL UNI WI-FI chuoni, akieleza kuwa huduma hiyo itakuwa na mchango mkubwa kwa wanafunzi katika kujifunza, kufanya tafiti na kuimarisha mawasiliano ya kidigitali.
π₯ Vifurushi Vinavyopatikana:
π Tsh 1,000 β Unlimited kwa saa 24
π Tsh 2,500 β Unlimited kwa siku 3
π Tsh 5,000 β Unlimited kwa siku 7
π Internet bila kikomo kwa experience bora ya kujifunza na ku-connect muda wote!
09/05/2026
KIKAO CHA VIONGOZI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2026/2027
Viongozi mbalimbali wakiwemo Ma-CR, Wabunge, Viongozi wa Dini pamoja na Viongozi wa Associations wamekutana kwa ajili ya majadiliano muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi 2026/2027.
Kikao hicho kiliongozwa na DEAN OF STUDENTS pamoja na jopo lake, wakisisitiza umuhimu wa uchaguzi wenye uwazi, mshikamano na uongozi bora kwa manufaa ya wanafunzi wote.
π€ Uongozi bora huanza na maandalizi bora.
08/05/2026
π FROM CLASSROOM TO CAREER
Karibu kwenye semina maalum ya INTERNAL AUDIT yenye lengo la kufungua fursa, kuongeza maarifa na kukuandaa kitaaluma kuelekea dunia ya kazi.
π Learn. Grow. Succeed.
π TIA University Main Hall
π
09 May 2026 | β° 09:00 AM β 02:00 PM
What to expect:
β
Career insights in Internal Audit
β
Networking opportunities
β
Free entertainment πΆ
β
Free meals π
β
Interactive sessions & inspiration
β
Fun and memorable experience π
π Usikose nafasi hii muhimu ya kujifunza na kujijenga kwa ajili ya future yako.
07/05/2026
ποΈ TAARIFA YA MSIBA
Kwa masikitiko makubwa, familia ya TIA DSM imepokea taarifa ya kifo cha mwanafunzi wetu KHAMIDA KHALID KIPONDAMALI, kilichotokea kufuatia ajali ya barabarani.
Tunatoa pole za dhati kwa familia, ndugu, jamaa pamoja na wanafunzi wote walioguswa na msiba huu mzito.
π€² Inna lillahi wa inna ilayhi rajiβun.
π―οΈ Apumzike kwa amani.
05/05/2026
ποΈ KIAPO CHA UONGOZI β TIASO DSM
Wabunge pamoja na Manaibu Mawaziri wa wizara mbalimbali wameapishwa rasmi, hatua inayoendelea kuimarisha uongozi na uwajibikaji ndani ya Serikali ya Wanafunzi TIASO DSM.
Uongozi ni dhamana, huduma na uwakilishi wa wanafunzi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam