22/05/2026
Mambo kidigitali mwanetu ukiwa na smart uni umemaliza! stress kwaheri π
Elimu kiganjani mwako sasa hivi!!.
Pakua sasa smart uni app inapatika kwa watumiaji wa simu zote android na ios(iphone)
18/05/2026
Kupitia application ya smart uni unapata notes zako zotee yan ushindwe wewe sisi kwetu notes k**a zote yani semester nzima
Pakua sasa usihangaike tena wakati wa mitihani
14/05/2026
Hatukuishia kuonana na viongozi Bali ulifika wakati wa kuongea na wanafunzi wa chuo Cha TaSuBa kuhusu smart uni app (mfumo) jinsi unavyo fanya kazi na faida zake kwa ujumla na tukaona na talents mbali mbali pia these people are π₯π₯π₯π₯π₯π₯ talented and creative π«Ά
Asanteni sana
14/05/2026
Smart uni ilipata nafasi kwa mara ya kwanza kufika katika Chuo Cha sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa) na pia kufanya mazungumzo na viongozi wa juu (makamu mkuu wa chuo) pamoja na serikali ya wanafunzi (UWaTaSuBa) juu ya mfumo huu mzuri kabisa wa smart uni
Swipe π
πΊπ¬πΉπΏπ°πͺπ―π»ππ₯πΊπ
08/05/2026
Now you can chat in the Smart Uni App!
Don't spend your weekend boredly if you have not yet downloaded your missing it up β¨
Download now!
on google play and app store just search smart uni tz.
06/05/2026
Smart uni imesha kurahisishia msomi!! Ukiwa na smart uni app chap TU una weza kuchat na marafiki wapya kutoka vyuo mbali mbali hapa Tanzania.
Una ngoja nini sasa ku pakua app hii msomi ?
04/05/2026
Success isnβt a giant leap; itβs the sum of every small effort you repeat today.
03/05/2026
Smart uni ilipata nafasi siku ya Jana kushikiri charity pamoja Wana funzi kutoka chuo Cha usimamizi wa fedha IFM ambayo Ilikuwa ni kuwa tembelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu huko chalinze katika shule inayo fahamika k**a H.B.lukwambe.
Asanteni sana