Are you in need of joining the prestigious whatsapp group chat for Law Students in Tanzania?? Drop your number in your comments down here!!
Tanzania Law Students' Association
Tanzania Law Students' Association is a National Organization of the Law Students in the United Republic of Tanzania.
28/09/2021
Chama Cha Wanafunzi wa Sheria Tanzania tunatoa pole zetu kwa Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungaano wa Tanzania, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi, Wananchi wa Jimbo la Ngorongoro na Familia kwa kuondokewa na Mhe. William Tate Olenasha aliyekuwa Naibu Waziri wa Uwekezaji.
TLSA ipo pamoja na ninyi katika kipindi hiki kigumu na cha majonzi mazito kwa kuondokewa na mpendwa wetu.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Raha ya Milele Umpe ee Bwana na Mwanga wa Milele Umuangazie!
Apumzike kwa amani. Amina.
Welcome to Official Page of the Tanzania Law Students' Association
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
TZA
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |