03/04/2023
Je, wewe ni mhitimu wa kidato cha nne na ujachaguliwa na serikali kujiunga na kidato cha tano au chuo au ulimaliza elimu ya kidato cha nne na ukashindwa kuendelea kwa sababu ya matokeo uliyoyapata basi usikate tamaa
Karibu Chuo cha afya na sayansi shirikishi SIR.EDWARD COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES | SECOHAS®] ujiunge na kozi ya ustawi wa jamii kwa ngazi ya cheti na Diploma ambapo chuo kitawaunganisha wahitimu watakaofaulu vizuri kwenye masomo yao
Basi usichelewe wala kuweka kisingizio ni nafasi yako ya kutimiza na kufikia ndoto yako
Pia watakohitaji kujiunga na kozi za afya yaani
Kozi ya Udaktari ( Clinical medicine )
Kozi ya Ufamasia ( Pharmaceutical Science )
Zote hizo ni kwa ngazi ya Certificate na Diploma
Wasiliana Nasi kwa Namba
0744 969 615
0747 804 641
0766 181 118
0653 128 266
HUDUMA YA HOSTEL NI BURE KABISA
KARIBU SANA SIR.EDWARD COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES | SECOHAS®]
11/02/2023
16/11/2022