Sheria Poa

Sheria Poa

Share

Sheria Poa ni NGO inayojishughulisha na utoaji wa elimu na msaada wa kisheria kwa jamii.

07/03/2025

Kuelekea siku ya Wanawake duniani tunawakaribisha wadau wote kwenye viwanja vya Leaders club katika kutoa huduma ya msaada wa kisheria kwa Wanawake na walemavu.

21/11/2024

Kipekee tunapenda kuwashukuru gazeti la kwa kutambua jitahada na mchango wetu katika jamii. Programu hii ya Msaada wa kisheria ni endelevu na tunawasii Wananchi ambao wanahitaji msaada wasisite kukaribia ili tuweze kuwapatia huduma.

20/11/2024

Tunafurahi kuona jitiada zetu zikiwa recognised, tutaendelea kutoa huduma kwa jamii kwa moyo mmoja. Shukrani kwa for recognizing and featuring us on todays newspaper

20/11/2024

Tulipata Mapokezi mazuri sana Parokia ya Mburahati, hatuna neno la ziada zaidi ya kushukuru 🙏

Photos from Sheria Poa's post 18/11/2024

Wanasheria wetu wakiwa wanatoa huduma ya msaada wa kisheria katika parokia ya Mburahi.

Photos from Sheria Poa's post 18/11/2024

Jana tulifanikiwa kuzindua katika parokiani kwako ya Familia Takatifu - Mburahati, Programu hii ni maalum kwa kutoa huduma ya msaada wa kisheria.

Tunafurahi kwa mapokezi tuliyoyapata katika parokia ya Mburahati na waumini wengi walijitokeza kupata huduma hii.

Photos from Sheria Poa's post 25/09/2023

Tumefanikiwa kutoa msaada wa kisheria kwa wakazi wa Kata ya Mchafukoge katika wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, tunategemea kuendelea na zoezi hili kila ijumaa ya mwisho wa mwezi katika kata hii. Tunawakaribisha wote katika huduma hii.

01/05/2023

Heri ya siku ya Wafanyakazi

26/04/2023

Heri ya Siku ya Muungano

26/04/2023

Heri ya Siku ya Muungano

21/04/2023

Eid Mubarak

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Makunganya/Simu Street
Dar Es Salaam

Opening Hours

08:00 - 17:00