WanaMwanga Mpooi?
Jamani hebu tukumbushane vitu ambavyo hutovisahau pindi ukiwa mwanafunzi wa Mwanga Secondary School
Je vipi ambavyo unatamani muda ungerudi nyuma walau saa moja ufanye au uvione vikifanywa
Toa mchango wako
Mwanga Vission Group
Ukurasa maalum kwa waliowahi kusoma Mwanga Secondary School iliyopo Mwanga-Kilimanjaro
Karibuni Wadau tukumbushane Enzi hizo!!
Ni kikundi cha wanafunzi waliowahi kusoma shule ya sekondari Mwanga chenye lengo la kuendeleza undugu na umoja waliokuwa nao shuleni lakini kwa kujikita kwenye biashara ya mazao biashara
Tunalima na kuuza matikiti maji,matango,pilipili hoho,carrotts,ufuta,mihogo na mahindi
kwa mahitaji ya jumla na rejareja usisite kuwasiliana nasi kupitia mawasiliano yetu....
KILIMO KWA MAENDELEO.........
Hi Wana_Mwanga
Matokeo yatayari ya mteule wa CCM
Hon John Pombe Magufuli ndiye chaguo la chama cha Mapinduzi
Kwahiyo tuachane na timu timu zetu k**a unamsupport Mh John Pombe Magufuli naomba fanya k**a unadondosha like yako tutambuane Team Pombe
Pombe
Wana_MwangaSec mpo?
hebu k**a wasomi tuchambue yaliyofanywa na k**ati ya CCM kumuengua Lowasa na kumuacha Membe....
Tuchambue hawa waliowaons ndio bora
Dr Asha Rose Migiro
Dr John Pombe Magufuli
Bernard Membe
Nani kwa maoni yako anaweza kuipeperusha vyema bendera ya Kijani?
Naomba kuwasilisha mada
Habari Wana_Mwanga Sec
Hebu fanyeni kulike hii page ili tuiboost tukumbushane enzi hizo na kujuana wapi tulipo baada ya kupotezana kwa miaka mingi
Tell a friend to tell a friend New page is on!!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam