Hekima Bookshop

Hekima Bookshop

Share

We sell motivational books, School books, Business books, Relationship books, Personal Development books and Financial books. We do delivery.

Call now +255 742590541

06/02/2026

RESPOND POSITIVELY

08/07/2025

GIFTED HANDS ni kitabu ambacho kimebeba hadithi nzuri inayomhusu Dr Ben Carson, Dr wa kwanza duniani kuwatenganisha mapacha ambao walikuwa wameungana vichwa kwa upande wa nyuma...

Kitabu kinaeleza namna ambavyo Dr Ben Carson alitoka kuwa mwanafunzi wa mwisho darasani hadi kuwa mwanafunzi WA kwanza darasani na pia kuwa miongoni mwa watu mashuhuri duniani...

Aidha kitabu kimebeba mambo mengi ya kujenga, kufunza na kusisimua pia...

Wewe mwanamke Uliyekimbiwa na mume, au umefiwa na Mume au ni single mother, usikose kikisoma hiki kitabu...

Kitabu kipo Dukani kwetu, Fika na ujipatie Leo.... Tuna toa offa

Lipia Tsh 20,000 Kwenda namba +255 742 590 541 (Hekima Mwasile)

Tunafanya na Delivery

03/04/2025

✓Kuwekeza ndani yako ni uwekezaji ambao una faida nyingi...

✓Huo uwekezaji hautakusaidia kuboresha tu maisha yako pia utakusaidia kuboresha maisha ya watu wote ambao wanakuzunguka

Inawezekanaje?

✓Ni pale utakajifunza sanaa ya kujipenda wewe mwenyewe ili uweze kuwapenda na watu wengine.

✓Ni pale ambapo umefungua moyo wako ndipo unaweza kugusa maisha ya watu wengine

Haya yote nimetafsiri tu kutoka kwenye maandishi ya njano hapo kwenye picha...

Ukitaka kujua zaidi na kupata zaidi maarifa yenye kukujenga nakushauri Nunua Kitabu Cha A MONK WHO SOLD HIS FERRARI.

Kitabu Kipo Dukani kwetu Kwa Tsh. 15000/=

Tunafanya na Delivery Kabisa...

01/04/2025

CHANGE YOUR THINKING CHANGE YOUR LIFE ni kitabu ambacho Kimeandikwa na Brian Tracy.

Kitabu kinaeleza namna gani unaweza kuwa na fikira chanya au fikira pembuzi ili uweze kuwa mtu wa kitofauti...

Mafanikio yoyote yanaanza namna unavyofikiri katika ubongo wako...

Maisha yenye furaha yanaanza kutengenezwa na namna unavyofikiri

Ninakushauri kisome hiki kitabu, hakika kitakufanya ubadili maisha yako jumla.

Utapata matokeo ya ajabu kwenye maisha yako...

Usianze kuhangaika kwamba nitakipata Wapi Sasa?

Kitabu Kipo Dukani kwetu

Bei ni Tsh. 15000/= tu

Wasiliana nasi +255 (0) 742 590 541

Tunafanya na Delivery.

25/01/2025

KITABU: EAT THAT FFOG/KURAHA HUYO CHURA

KIPO KWA LUGHA ZOTE MBILI

BEI: TSH. 15000 TU

MAWASILIANO: +255 742 590 541

05/07/2024

Usioe mwanamke ambaye haelewi ulichokibeba au anajua ulichokibeba lakini hakiheshimu. Atakuwa mwiba mkubwa sana kwenye kutimiza ulichokibeba.

04/07/2024

Ukiwa na Mungu hata reaction pale unapokosewa inakuwa ya kitofauti sana.

03/07/2024

Kisaikolojia mwanaume huwa anaonaga aibu kumwomba hela mwanamke wake.

Ukiona imefikia hatua huna aibu kwenye kumwomba pesa mwanamke wako...

Jua una matatizo na unakoelekea utapoteza heshima yako.

Hakikisha unaona aibu, itakusaidia kulinda heshima yako...

Wanawake huwa wanadhalilisha kaa ujikua Hilo...

Ajisikie yeye mwenyewe kukupa labda lakini nje na hapo acha kuwa na shobo ya hela zake...

Ni wachache wana moyo wa kunyamaza ila wengi wao husema...

Kwahio kazi kwako...

Nakupenda ❤️



№:+255742590541
Email:[email protected]

02/07/2024

NUKUU...

"Mimba ni baraka ukipata wakati sahihi Ila ukipata muda ambao sio sahihi ni mzigo"

02/07/2024

WANAWAKE HUVUTIWA ZAIDI NA HAYA MAMBO KWA MWANAUME...

1. PESA
🎯Ukiwa na pesa wanawake wote unaweza wachukua maana Huvutiwa na hela sana. Haijalishi una sura gani ila ukiwa na pesa tu basi unaweza kupata mwanamke ye yote ambaye unamtaka. Ndivyo walivyo hawa viumbe 😂

2. THAMANI YA MTU
K**a vile ambavyo nimesema wengi huvutiwa na pesa vivyo hivyo huvutiwa na mwanaume ambaye ana thamani kubwa katika jamii. Lengo la kuvutiwa na watu wa hivi ni kwa lengo la wao kuuza sura zao katika jamii.

3. JINA
Wanawake huvutiwa na watu wenye majina, ukiwa na jina tu wanawake hujileta wenyewe, tena wao ndio watakutaka. Mfano angalia watu maarufu wakipanda jukwaani kudumbuiza utaona lundo la wadada wakigombania.

4. MAMLAKA AU NGUVU
Pia wanawake wengi huvutiwa na watu wenye mamlaka au vyeo katika nyadhifa tofauti tofauti. Huwa wanapenda hivyo kwa lengo la kuuza, yani watu waseme ile ni pisi ya kiongozi bana au yeye mwenyewe ajitambulishe mimi ni mtu wake kiongozi fulani au mume wake na fulani.

5. USHAWISHI/INFLUENCE
Ukiwa na ushawishi kwenye jamii basi wanawake wengi utawapata bila hata kutumia nguvu. Watakuja wenyewe tu, watakutaka wao na sio wewe maana huwa wanapenda kuuza.

6. AKILI
Yes, ukiwa na akili tu utapendwa wew😂, K**a ni shuleni basi kila mdada atataka awe kwenye group lako au mkae wote ku discuss. Ndio maana watu wenye akili mashuleni huwa hawapati tabu kuhusu wanawake labda wasiamue tu. Ndivyo walivyo hawa viumbe 😂

Kwa hiyo ukitaka wapishane kwako kuwa na kimoja kati ya hivyo...

Ila ukikosa vitu vyote hapo baba sahau watoto kukukimbilia, jiandae kuwafukuzia😂...

Nimeeleweka?

Tuishi humo ndugu zangu....

Nakupenda ❤️



№:+255742590541
Email:[email protected]

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 21:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 21:00
Thursday 09:00 - 21:00
Friday 09:00 - 21:00
Saturday 09:00 - 21:00
Sunday 12:00 - 21:00