Mchezaji gani alikufanya uupende Mpira?
stevechampion17
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from stevechampion17, Education, Dar es Salaam.
Unavyoona vijana wetu wanavyosakata Kabumbu tunashinda mabao mangapi leo?
Mambo ya kuzingatia kwa kijana 25-30
01/06/2026
Ngumu kawaelewa wazungu.
UEFA wamefurahishwa sana na kiwango cha cha muamuzi Daniel Siebert katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Arsenal dhidi ya PSG
Watu wa karibu na mwamuzi huyo wanasema kuwa utendaji wake unatazamwa ndani ya taasisi hiyo k**a moja ya maonyesho bora zaidi ya uamuzi kuwahi kuonekana katika historia ya fainali za Ligi ya Mabingwa.
Hata hivyo, kwenye orodha rasmi ya waamuzi walioteuliwa kwa Kombe la Dunia 2026, Siebert hakujumuishwa. Ripoti mbalimbali za Aprili 2026 zinaonyesha kuwa mwamuzi pekee mkuu kutoka Ujerumani aliyechaguliwa ni Felix Zwayer, huku Daniel Siebert akibaki nje ya kikosi hicho.
Daniel Siebert hatachesha mechi za Kombe la Dunia 2026.
Lipi Kombe bora la Dunia kwako?
01/06/2026
Wachezaji watakaoshiriki Kombe la Dunia 2026 hawataruhusiwa tena kwenda kwenye benchi la ufundi kupata maelekezo kutoka kwa makocha wao wakati golikipa anapokuwa akipatiwa matibabu uwanjani.
Hatua hiyo ni sehemu ya mabadiliko mapya ya sheria yaliyotangazwa na mkuu wa waamuzi wa FIFA, Pierluigi Collina, kwa lengo la kupunguza upotevu wa muda na kuongeza ushindani wa haki katika mchezo.
Unaionaje sheria hii mpya?
Ureno watakuwa mabingwa wa Kombe la Dunia?
Hawa hapa na wakielezea makali ya timu hiyo.
Je unaona timu gani itashinda Kombe la Dunia?
31/05/2026
Chelsea mliwafungaje hawa washkaji na teka lenu Delap?
30/05/2026
Wareno watasumbua sana kwenye World Cup, timu wanayo.
30/05/2026
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam