Smart Education Tz

Smart Education Tz

Share

Smart Education Tanzania Your trusted source for educational materials, past exams, NECTA results, and a wide range of learning resources.

31/05/2026
04/05/2026


Kumekuwa na changamoto kubwa sana kwa watumiaji wa Ajiraportal πŸ˜”
Wadau wengi wanashindwa kuingia kwenye akaunti zao hata baada ya kuweka taarifa sahihi. Mfumo unaendelea kuonyesha β€œInvalid Email or Password” na hata ukifanya password reset, tatizo haliondoki.
Hili ni tatizo kubwa sana kwani linaathiri moja kwa moja waombaji wa ajira na kuwanyima fursa muhimu. Pia, mawasiliano yenu hayafanyi kazi ipasavyo, jambo linalozidisha changamoto hii.
πŸ‘‰ Tunaomba Sekretarieti ya Ajira mlifanyie kazi suala hili HARAKA iwezekanavyo. Mfumo huu ni muhimu sana kwa vijana wengi wanaotafuta ajira.








30/04/2026

TAARIFA – SMART EDUCATION TANZANIA

Habari wapendwa wanafunzi wa Diploma ya Elimu ya Msingi na Elimu ya Awali πŸ‘©β€πŸ«πŸ‘¨β€πŸ«

Tunapenda kuwakumbusha kuwa utaratibu wa kujaza fomu za Internship (Teaching Practice) umeanza rasmi. Ni muhimu kila mhusika kuhakikisha anakamilisha hatua zote kwa wakati ili kuepuka usumbufu usio wa lazima.

πŸ”Ή Muhimu kuzingatia:

- Hakikisha umejaza taarifa zako kwa usahihi
- Fuata maelekezo yote yaliyotolewa na chuo/taasisi husika
- Wasilisha fomu ndani ya muda uliopangwa
- Hifadhi nakala ya fomu yako kwa kumbukumbu

πŸ“² Endelea kufuatilia Smart Education Tanzania kwa taarifa sahihi, miongozo na fursa mbalimbali za kielimu.

27/04/2026

Tunawawezesha wanafunzi kufikia malengo yao kupitia elimu bora na teknolojia.

21/04/2026

Habari za muda huu, wanafamilia wa SMART EDUCATION TANZANIA 🀝

Napenda kutumia nafasi hii kuwaomba radhi kwa jambo lolote ambalo huenda niliwahi kuwakwaza kwa namna yoyote ile. πŸ™

Licha ya yote, jambo la msingi ni kuendelea kushik**ana, kuombeana, na kudumisha upendo miongoni mwetu. Ni kweli hatujuani mmoja mmoja, lakini ukweli kwamba Mungu ametukutanisha katika jukwaa hili β€” hiyo pekee ni neema kubwa sana. ✨

πŸ”Ή Kwa wale mlio tayari mmepangiwa vituo vya kazi
Hongereni sana πŸ‘ Tunawatakia kila la kheri katika majukumu yenu mapya.

πŸ”Ή Kwa wale ambao bado mnasubiri
Msikate tamaa. Hili ni suala la muda tu β€” upo kwenye foleni, na muda wako utafika. ⏳

πŸ”Ή Kwa wale ambao mmetoka k**a NOT SELECTED
Msivunjike moyo. Huu sio mwisho wa safari ya ajira. Nafasi zitaendelea kutangazwa, na fursa nyingine zitakuja. Endeleeni kujaribu β€” muda wenu pia utafika. πŸ’ͺ

πŸ“š Kumbuka:
Katika jukwaa hili la SMART EDUCATION TANZANIA, sio ajira tu β€” pia utapata mafunzo mbalimbali yatakayokujengea uwezo binafsi na kitaaluma. Kwa waliopata ajira, hapa pia mtajifunza mifumo muhimu ya kiutumishi k**a ESS, PEPMIS, SIS, PREM na mingineyo.

Tuendelee kuwa pamoja k**a familia moja πŸ’™

Nawapenda sana. Mungu awabariki wote. πŸ™Œ



β€”
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mtendaji
SMART EDUCATION TANZANIA

πŸ“§ [email protected]
πŸ“ž 0717173853 / 0750173853
🌐 www.smarteducation.co.tz

12/04/2026

Wale Wamachaguo ya Kidato Cha Tano Mfumo Upo *Active Sasa* Nak**a Unahitaji Usaidiz Wasiliana Nasi 0717173853 -
*Whatsapp Only*

01/04/2026

"Hata Usiku Uwe mrefu Lazima Kutakucha" Hatimaye April 1 Hii hapa.
Walimu Wanasubiri Habari njema Toka kwenu.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


5G Street
Dar Es Salaam
000000