13/12/2023
Karibuni wote.
Welcome to St.Columba's Nursery & Primary school.The school has two campuses, Upanga & Makongo juu.Q
13/12/2023
Karibuni wote.
06/12/2023
GOD is good. We did it again. DARAJA A BORAAAAA
Tumeanza usaili kwa ajili ya wanafunzi wa kujiunga darasa la kwanza 2024. Karibuni wote St. Columba's Makongo Juu.
0657675539
Habari za asubuhi ndugu jamaa na marafiki popote mlipo. Nawatangazia kwamba usaili wa wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2023 unaendelea hapa St. Columba's Makongo juu. Muda ni kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa saba na nusu mchana. Mlete mwanao apate elimu bora. Wahi kabla hujachelewa. Karibuni.
14/12/2022
Mungu ni mwema wanafunzi wetu wamefaulu kwa daraja la juu kabisa!!Hakika mungu ni mwema kwani jitihada za walimu na wanafunzi zisingetosha bila ridhaa yake. Ooh God thanks againππππ
09/12/2021
Habari
Usaili unaendelea shuleni ST Columba's
Mlete mtoto apate elimu bora kabisa kwani hicho ndicho kipaumbele chetu.
Piga 0769116045
03/12/2021
Habari.
Kesho ni siku ya interview kwa wanafunzi watakaohitaji kujiunga na shule yetu mwaka 2022. Muda ni kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa tisa na nusu alasiri. Karibuni
He made a π‘
Talent hits a target no one else can hit
Warm up session was superb
| Monday | 07:30 - 15:30 |
| Tuesday | 07:30 - 15:30 |
| Wednesday | 07:30 - 15:30 |
| Thursday | 07:30 - 15:30 |
| Friday | 07:30 - 15:30 |
| Saturday | 08:00 - 14:30 |