Tunakukaribisha chuoni.
Acha ujumbe tutakupigia!
Kumbuka awamu ya tatu itakuwa mwezi wa July na ya nne itakuwa octoba 2019!
Nyaishozi College of Bussiness and Computing Technology - NCBCT
Education
09/02/2019
Imebaki siku 5 tu kufunga usajili kwa mafunzo ya Business Operations. Kumbuka hii kozi ni mkombozi wa wale ambao hawana zaidi ya pass 4!!!!!!!! Unasubiri nini? Tafadhali wasiliana nasi 0745009792
Sasa tumeanza kupokea wanafunzi wa Kozi ya Business Operations mpaka tarehe 15/02/2019 kulingana na maelekezo ya VETA. Hivyo unaombwa uwahi sasa usije ukaachwa nyuma.
Kumbuka ada ni laki tatu kwa semester na inalipwa kwa awamu nne. Kwa maelekezo zaidi tupigie simu 0745009792
Utawala
Chuo cha Nyaishozi (Nyaishozi College of Business and Computing Technology) kilicho Mbweni - Dar es Salaam, kinatangaza nafasi za masomo kwa ngazi ya Diploma na Cheti k**a ifuatavyo:
i. Procurement Management;
ii. Records Management;
iii. Business Operations;
iv. Information Technology; au
v. Statistics
Jinsi ya kutuma maombi
• Unaweza kutuma maombi kwa kujisajili katika tovuti ya Chuo ambayo ni www.ncbct.ac.tz au
• kwa kupiga simu nambari 0745009792 (wahudumu wa Chuo wapo kukusaidia).
Masomo yataanza tarehe 04 Machi 2019.
Tafadhali wafahamishe ndugu, marafiki na jamaa ili wasikose nafasi hii adhimu
Nyaishozi College of Business and Computing Technology NCBCT is an independent and non-for-profit Competence Based Education Training College situated at Mbweni in Dar es Salaam, Tanzania. It is a dynamic, goal focused, career orientated higher learning institution offering an extensive range of certificates, diploma and professional programmes alongsid...
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 15:00 |