Stars Pre and Primary school iliyopo Mbezi mwisho Mshikamano inawakaribusha wazazi/walezi wote kuleta watoto wao hapa
Stars ni shule inayopokea watoto wa darasa la awali kuanzia umri wa miaka miwili.
Pia tunaendelea kupokea wanaohamia darasa la 1, 2, 3, 5 na 6. Interview hufanyika kila siku hapa shuleni kuanzia saa 3asb hadi 8mchana
Fomu za kujiunga hutolewa bila malipo yoyote
Ukifika Stand ya Magufuli mbezi mwisho, tupigie tukuelekeze namna ya kufika shuleni kwetu.
Piga/WhatsApp: 0785788599
Stars Pre and Primary Schools
Stars Pre and Primary school ipo Mbezi Mshikamano. Tunasajili watoto wa chekechea na darasa la I.
Pia tunapokea wanafunzi wanaohamia madarasa yote
Tupigie: 0784209890|0784209155
UCMAS competition 2022. Stars ndani inafanya yake
Kujiunga na shule ya Awali na Msingi Stars iliyopo Mbezi mwisho Mshikamano wilaya Ubungo, Dar es salaam, Piga/WhatsApp 0785788599
Tunaendelea kupokea wanafunzi wa darasa la awali, la kwanza, la pili, la tatu, la tano na la sita
Interview ni kila siku kuanzia saa 3asb hadi 8mchana.
Fomu za kujiunga zinatolewa bila malipo
Ukifika stand ya Magufuli Mbezi mwisho, piga 0785788599 upewe maelekezo ya kufika. Ni karibu sana na stand ya Magufuli
Karibu sana
STARS are you ready.... yeeeeeeeees
08/04/2022
Vijana wanapata lunch yao somewhere amazing
Piga/WhatsApp: 0785788599
Darasa la Muziki linaendelea. Piga/WhatsApp: 0785788599
08/04/2022
Std 7 wakiwa kwenye shindano la UCMAS tarehe 2 March 2022
Karibu ujiunge nasi, tupo Mbezi Luis, Mshikamano wilaya ya Ubungo, Dar es salaam
Piga/WhatsApp: 0785788599
Let your kid join Stars Pre and Primary to become a star
Call/WhatsApp: 0785788599
31/01/2022
Class 6 in their classroom
To reserve a place for your kid,
Call/WhatsApp: 0785788599
Join Stars Pre and Primary Schools to become a star
That is how boarding launching ceremony it was. Karibuni sana Stars
Piga/WhatsApp: 0785788599
06/12/2021
*STARS PRE AND PRIMARY SCHOOLS- (Day & Boarding)*
☆ Ni shule ya Awali na Msingi inayotumia lugha ya kiingereza kufundishia, ipo Mbezi Luis, Mshikamano (kwa Mroso Ng'ombe)
☆ Shule inaendelea na usajili wa darasa la awali (chekechea) kuanzia umri wa miaka 2 na darasa la kwanza - 2022
☆ Pia tunapokea wanaohamia darasa la II - VII
☆ Fomu za kujiunga na usaili ni bure
☆Huduma zilizopo ni:-
• hostel
• usafiri
• chakula na maji safi
• mafunzo ya kompyuta
• mafunzo ya kupiga kinanda
• michezo mbalimbali
Kwa maelezo zaidi,
Piga/WhatsApp:
0784209155|0784209890
Kaulimbiu yetu: "elimu kwa wote"
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Mbezi Mshikamano
Dar Es Salaam