Kwa sisi wahenga
1. Wali na nyama ilikuwa ni kwa ajili ya chrismas au tukio fulani la kusherehekea
2. Mpira wa miguu half time ilikuwa inaamuliwa na idadi ya magoli, kwa mfano bao tatu geugeu. Msipofungana no half time.
3. Jezi ilikuwa timu moja kuvua mashati na nyingine kuvaa.
4. Njumu hazikuwa zinaruhusiwa uwanjani.
5. Goli likizidi kimo cha kipa siyo goli.
6. Penalt inaweza kutengwa hata k**a faulo imefanyika katikati ya kiwanja ilimradi ni faulo mbaya.
7. Wachezaji wote ni waamuzi wenye kushawishi kwa kelele zaidi hushinda
8. Mwenye mpira lazima apewe namba.
9. Mpira utaisha kwa sababu tatu. Mwenye mpira kuitwa nyumbani, giza kuingia au ngumi
10. Kulikuwa na nguo rasmi za jumapili na ndiyo siku ambayo kila mtu ataoga.
Nikumbusheni mengine.
Muhenga Moses
Non Governmental Primary Schools Organisation (NGOPSO)
NGOPSO
Is a Non- Governmental Primary Schools Organization that deals with Private schools in Tanzania in terms of Academic performances and other matters pertaining education in Private Schools in Tanznia
09/01/2023
NEWS FROM MOFET
Wakala rasmi wa vitabu vya taasisi ya Elimu Tanzania. Pata vitabu kwa idadi unayotaka kutoka kwetu. Tupo Mwenge Mpakani, huna sababu ya kwenda kuibiwa Kariakoo. Tuna vitabu vya kampuni nyingine pia KBP, MEP, LONGHORN, APE na wengine.
Tunaaminika, mikoani tunatuma. Tupigie 0714414282, au 0767414284
05/07/2022
Karibu tushiriki sote
Mambo ya ajira za walimu kwenye Ngopso yawekwe hapa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
P. O. Box 75875 Dar Es Salaam
Dar Es Salaam