DUA NI SILAHA YA MUUMINI
Dua ya kutibu Maumivu ya Mgongo.
Ibnu Zakaria Kagimbo
Tunatoa Mafunzo ya kuulea moyo Kwa njia ya maandishi na videos
DUA NI SILAHA YA MUUMINI.
Dua ya kutibu Maumivu ya tumbo kwa Maelekezo ya Ahlul-bayt a.s.
DUA NI SILAHA YA MUUMINI.
Dua ya kutibu Mafua pamoja na Maumivu ya kichwa.
DUA NI SILAHA YA MUUMINI.
Dua ya kutibu maumivu ya kichwa, kwa mapokeo ya Ahlul-bayt a.s.
Zakaria Kagimbo
Mwenye kujibu kila analoulizwa ni Kichaa.
Sio aibu kuulizwa jambo ambalo huna elimu nalo ukasema sijui kuliko kutoa majibu yasiyo sahihi.
_Kagimbo
21/04/2026
Kila kitu nilicho nacho maishani ni matokeo ya wema na rehema zako, Mungu wangu, na kwa hilo nataka kukushukuru kutoka ndani ya moyo wangu.
Alhamdu-lillahi kwa kila Hali.
Kila jambo unalotaka kulifanya lazima uwe na ujuzi nalo.
Neema Za Allah
Maneno ya kila siku mpya inapochomoza Alfajiri.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam