28/12/2025
TUNAENDELEA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA NA KUHAMIA KIDATO CHA II, III NA V.
Tunatoa elimu bora ya chekechea, msingi na sekondari kidato cha kwanza hadi sita. Mlete mwanao Ilala islamic apate elimu na malezi bora.
28/12/2025
TUNAENDELEA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA NA KUHAMIA KIDATO CHA II, III NA V.
24/12/2025
Tunaendelea kupokea Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza na Kuhamia Kidato cha II, III na V
14/12/2025
Mh Prof Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akiwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Mahafali ya Kuwaaga Wahitimu wa Kidato cha Nne zilizofanyika katika Viwanja vya Masjid Taqwa Ilala Bungoni. Ama hakika yalikuwa ni mahafali ya aina yake. Tunakushukuru sana Mheshimiwa Waziri kwa kujumuika nasi.
12/12/2025
BADO TUNAPOKEA MAOMBI YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2026.
01/04/2025
Tumeshaanza kutoa Fomu za Kujiunga na Kidato cha Tano 2025. Wasiliana nasi UJIPATIE Fomu mapema sana ili upate muda wa maandalizi.
31/03/2025
Tumeshaanza kutoa Fomu za Kujiunga na Kidato cha Tano mwaka huu 2025. Masomo yanaanza Julai 2025.
30/03/2025
Tunawatakia Eid Mubarak nyooote.
Tumeshaanza kutoa fomu za Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2025
30/03/2025
Tukumbuke Zakatul fitr
| Monday | 07:30 - 17:00 |
| Tuesday | 07:30 - 17:00 |
| Wednesday | 07:30 - 17:00 |
| Thursday | 07:30 - 17:00 |
| Friday | 07:30 - 17:00 |
| Saturday | 08:00 - 15:00 |