Shairi Writter

Shairi Writter

Share

Fanya ufanyavyo lakini mwisho wako na mwisho wa kila mmoja upokaribu

07/09/2017
Photos 10/02/2016
12/12/2015

"Many girls passed, but last juwairiya, even call I failed, how kiss i dare? First time I loved, but fail to declare.

21/08/2015

Wakazi Wa Tabata Na Magomeni Mwenye Kuhitaji Maziwa Ya TANGAFRESH Kwa Ununuzi Wa Jumla Apige Namba 0717630185 Au 0718634511 Atafikishiwa Mpaka Mlango Kwake.

Mobile uploads 22/02/2015

♡♥

23/01/2015

Maisha€£ hakuna asiyependa♥ uwezo wa kufanya kazi unayoipenda♡ au aliyonayo♥ kwa wakati huu ndio jambo ambalo unatamani lisikupotee◀▶▲▼leo hii umeweza kuamka ktk kitanda☆←☆ chako na umeweza kufumbua macho yako kwa mara nyingine tena.Japo mimi nawe tumeamka salama ila kuna watu mda huu wapo vitandani sikwakupenda bali ni ktk mipangilio ya mwenyezimungu mtukufu.Hivyo basi hatuna budi kumshukuru yeye kwani ndiye anayetupa nguvu na uzima na uchache wa shukrani ni nikusema Namshukuru mwenyezimungu ila shukrani kubwa kufuata amri zake《》~→NAWATAKIA IJUMAA NJEMA

Mobile uploads 15/01/2015

Kuna siku ancle wangu aliniambia hafikirii k**a kazi mimi naiweza, akimaanisha suwezi kutongoza sikuamini maneno yake kwangu nikajua ule msemo tu k**a misemo mingine.Kumbe wazee wanakuangalia tabia yako kisha wanajua k**a una mwenendo gani na una uwezo gani ktk kufanya jambo fulani.Leo hii naamini maneno ya ancle kwamba mimi siwezi kuaroach na jingine laongezeka kwamba naogopa wanawake...............Nimekuwa nampenda JUWAIRIYA yapata miezi kadhaa sasa lakini mpaka leo sijamtamkia neno lolote kuhusu upendo wangu juu yake kwani anatawala mawazo yangu ya kila siku.Nashindwa nifanye nini ili ujumbe wangu aweze kuupata (《♡zana♥♡ki》][♥♡♥♡4m5

Mobile uploads 15/01/2015

Kuna siku ancle wangu aliniambia hafikirii k**a kazi mimi naiweza, akimaanisha suwezi kutongoza sikuamini maneno yake kwangu nikajua ule msemo tu k**a misemo mingine.Kumbe wazee wanakuangalia tabia yako kisha wanajua k**a una mwenendo gani na una uwezo gani ktk kufanya jambo fulani.Leo hii naamini maneno ya ancle kwamba mimi siwezi kuaroach na jingine laongezeka kwamba naogopa wanawake...............Nimekuwa nampenda JUWAIRIYA yapata miezi kadhaa sasa lakini mpaka leo sijamtamkia neno lolote kuhusu upendo wangu juu yake kwani anatawala mawazo yangu ya kila siku.Nashindwa nifanye nini ili ujumbe wangu aweze kuupata (《♡zana♥♡ki》][♥♡♥♡4m5

Mobile uploads 13/01/2015
07/01/2015

First time ndugu yangu aliandika "lini utakuwa wangu?" Kwenye wallpaper yake ,lakini mimi natamani kuanadika lini atakuwa wangu kwenye profile yangu ila atajuaje au ujumbe huu utamfikiaje? ndio maswali ambayo najiuliza 'kwandugu yangu ilikuwa rahisi kwani kila siku alikuwa anakutana nae lakini mimi !mara moja kwa mwezi -'":;,?oh!JUWAIRIYA jina lako linatawala mawazo yangu ya kila siku. Jamani rafiki zangu JUWAIRIYA ananichanganya,najuawa naweza kuonekana mshamba kwakuandika haya ila sina budi kwani mwenzenu naumwa kwasababu ya JUWAIRIYA na mpaka sasa sijajua nitapata nafasi vp ya kuongea na JUWAIRIYA ili niwasilishe hisia zangu kwake,najua anasoma ila mimi sipo kwa ajili ya kuharibu masomo yake.Hivyo basi wewe utakae thamini hisia na upendo wangu na unamfahamu JUWAIRIYA niwasilishie hili ,kwani nitazidi konda kwa mawazo♡♥♡♥♡4♥♡♥m♡♥♡♥5♡♥♡z♥♡♥♡♥n♡♥♥♥♡♥♡♥♡k♡♥♡♥♡♥I♡♥♡♥♡♥♡

05/12/2014

Ijumaa

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


Buguruñi
Dar Es Salaam