30/03/2024
I have reached 500 followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉
MIMC this is the Ministry under Apostle Joshua Protus. Mission of MIMC is:- To show the power, natur
30/03/2024
I have reached 500 followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉
01/01/2024
Apostle Joshua Protas
Neno la mwaka 2024
Ni mwaka wa malaika kutenda kazi ndani ya wanadamu ,mwaka huu Mungu atakufuta kila chozi k**a alivyowatetea kuwatoa Meshaki na Abednego kwenye tanuli la moto, kwa namba nne, yule malaika alipokuja wakawa wanne moto hauku washinda ndivyo itakavyokuwa kwako mwaka huu ,kila moto wa machungu uliopitia utahusahau .Mungu atakuvalisha heshima kwenye maisha yako.Namba nne ni namba ya malaika kutoka mbingu talajia mambo mazuri kutoka mbinguni Mungu atakusaidia.
Mathayo 24:31
02/01/2022
Jumapili Ya Kwanza Ya Mwaka 2022 Mwaka Wa Haki... Haki Huinua Taifa Mwaka Huu Ni Kutawala Wenye Haki.
01/01/2022
Mkesha Wa Kuukaribisha Mwaka Mpya 2022
18/10/2021
Jumapili Tar 17 Hitimisho Ya Semina Ya Roho Mtakatifu ... Mungu Ametenda Tena 😇
29/08/2021
Jumapili Ya Baraka Ibada Ya Mafuta Ya Kibali Mungu Yuko Kazini 💪
17/08/2021
Madhabahu Ya Betheri International Church Inakualika Kwenye Maombi Na Mfungo Kuombea Taifa Ni Mfungo Wa Week Nzima Mwisho Itakuwa Jumapili!
16/08/2021
Siku Ya Mwisho Ya Semina
Ya Ukombozi Toka Kwenye Mzimu Ya Ukoo! Na Prophet Debora Toka Congo
01/08/2021
Jaribu Lako Linavyoweza Beba Hatima Yako!! 1 Samweli 1-7
27/07/2021
Nilikuja dar kwa ajili ya matibabu baada ya vipimo nikaambiwa Nina Moyo mpana natakiwa kufanyiwa operation Ila baada ya maombi siku ya operation nikapimwa tena nikaambiwa shida yangu sio kubwa nikapewa dawa tu!
27/07/2021
Nipata tatizo kazini Mimi Ni Engineer nilianguka kwenye jengo nikavunjika uti wa mgongo... Nashukuru Mungu nimepona na ni mzima kabisa
25/07/2021
Sunday Service Kwenye Madhabahu Ya Bwana Betheli International Church!