17/04/2026
HUDUMA ZOTE ZA SHULE ZIPO EAST AFRICA COMMERCIAL AND LOGISTICS CENTRE - UBUNGO
—
Karibu upate huduma zote za Shule Ghorofa ya Pili , Chumba namba 7.
Tumesogea Kukuhudumia!
Tupigie #0735510003
HighSchool
Elimu Malezi Usalama
Sabasaba 2025
17/04/2026
HUDUMA ZOTE ZA SHULE ZIPO EAST AFRICA COMMERCIAL AND LOGISTICS CENTRE - UBUNGO
—
Karibu upate huduma zote za Shule Ghorofa ya Pili , Chumba namba 7.
Tumesogea Kukuhudumia!
Tupigie #0735510003
HighSchool
Elimu Malezi Usalama
Sabasaba 2025
09/04/2026
LIKIZO TIME KWA WANAFUNZI; NI MUDA WETU WA KUJIPANGA
—
Staff wetu walitumia muda wa likizo fupi ya masomo, Kujipanga na Kujielimisha ili kuwa bora na kutoa huduma bora tunapowaandaa watoto Kufanikiwa katika maisha.
Asante sana Wakufunzi wetu kwa Uwezeshaji mzuri.
matthews_schools
marksecondaryschool
09/04/2026
USAJILI WA MASOMO YA KIDATO CHA TANO 2026 - UNAENDELEA
—
St. Matthew’s Secondary ni miongoni mwa shule chache za sekondari Tanzania ambazo Mwanafunzi anaandaliwa sio kuajiriwa tu, bali kuwa na uwezo wa kujiajiri na kuajiri wengine kupitia mafundisho ya Elimu ya Maisha, Elimu ya Fedha, Ujasiriamali na Vipaji.
Kwasasa shule inaendelea na Usajili wa Wanafunzi kwa masomo ya Kidato cha Tano kwa tahasusi za PCM, PCB, PGM, CBG, PGM, EGM, ECA, HGE, HGK, na HGL.
Shule ni ya Bweni kwa Wasichana na Wavulana, ipo
Mbagala-Kongowe, mkoa wa Pwani.
Tupigie au WhatsApp namba 0735510003 au 0754698845
matthews_schools
matthews_schools
matthews_schools
01/04/2026
WE ALREADY MISS YOU
—
A School without you, our Successful Students, is so boring, We miss you and Please Enjoy your Holiday!
Sisi ni Elimu, Malezi na Usalama.
22/03/2026
ASANTE KWA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
—
Tumekuwa na ushirika mzuri chini ya uongozi wa Jumuiya ya Waislamu shuleni kuhakikisha watoto wetu wanafundishwa maadili mema na malezi.
Asanteni sana Walimu, Mashehe na Maimamu.
22/03/2026
ASANTE KWA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
—
Tumekuwa na ushirika mzuri chini ya uongozi wa Jumuiya ya Waislamu shuleni kuhakikisha watoto wetu wanafundisha maadili mema na malezi.
Asanteni sana Walimu, Mashehe na Maimamu.