17/01/2019
Basihaya Learning Centre... Computer Courses kuanzia February 1
Jiunge nasi kwa kozi za Computer, Biashara, Lugha na nyingine nyingi kwa gharama nafuu kabisaTupo Boko - Basihaya Campsite,
17/01/2019
Basihaya Learning Centre... Computer Courses kuanzia February 1
15/10/2017
Graduation ya form Iv 2017
Pata mafunzo ya Computer kutoka kwa walimu waliobobea kwa gharama nafuu ..Basihaya Learning Centre
16/06/2015
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
TANGAZO
Kaimu Katibu Mtendaji, Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) mwezi Novemba, 2014 k**a Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kwa malipo ya ada ya kawaida (Shilingi 50,000/=kwa wanaojisajili CSEE na Shilingi 30,000/= kwa wanaojisajili QT ) kimeongezwa kutoka tarehe 28 Februari, 2014 hadi tarehe 31 Machi, 2014. Watahiniwa watakaojisajili kuanzia tarehe 1 Aprili, 2014 hadi tarehe 30 Aprili, 2014 watatakiwa kulipa ada ya kawaida pamoja na faini mpaka usajili utakapofungwa rasmi tarehe 30 Aprili, 2014.
Waombaji wote wanasisitizwa kuhakikisha wanajisajili mapema kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya Baraza la Mitihani ya www.necta.go.tz. Kabla ya kujisajili kwenye mtandao, waombaji wanapaswa kwenda kwenye vituo vya mitihani kuchukua namba rejea (reference number) zinazotolewa bure na kulipa ada ya mtihani kwa njia ya Posta au Mpesa.
Imetolewa na:
KAIMU KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA.
26/02/2014
Basihaya Learning Centre Lyceum High School, Basihaya Secondary School...at the same roof...KARIBUNI
MATOKEO YA FORM IV
LYCEUM HIGH SCHOOL
http://41.188.155.122/CSEE2013/s4186.htm
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA Page : 723
QT 2013 RESULTS FOR : M3782 - BASIHAYA SECONDARY SCHOOL
RESULTS SUMMARY
PASSED = 28
FAILED = 8
-------------
14/02/2014
14/02/2014
Tunajifunza na kuchati pamoja
06/01/2014
Dunia k**a kijiji, karibu tuifunze computer pamoja
03/01/2014
Darasa linaendelea, karibu name wewe ujifunze computer