14/12/2025
Vikao na vijana Kwenye Vijiwe vya Bodaboda /Kahawa/ na Michezo ya draft ili kuwasikiliza maoni yako na Kwanini wanadhani kuandamana ndio inaweza kua sulu hissi la hoja walizonazo. lakini vijana wengi wameonekana kua hawasapoti wala hawakubaliani na wanaharakati wanaohamasisha maandamano.
Nao wa mesela wanataka maisha ya haki, lakini pia na uhuru wa kufanya kazi huku na Wao wakihimizana kutimizia wajibu wao K**a wananchi. Vile vile wameomba viongozi waliopo madarakani kufanya kazi kWa bidii lakini kwa kuzingatia haki na sheria na sio kinyume chake . Tukifatisha kauli ya Mhe. Rais KAZİ NA UTU TUNASONGA MBELE kıla kiongozi azingatie Utu huku akichapa kazi Maendeleo ni Lazima nchini. Alinukuliwa kijana Othman iddi Dereva bodaboda
14/12/2025
Taasisi ya Fahari ya Mama Tanzania inajali na Kuithamini Jamii hasa wakına mama na watoto ... tukuwaasa wakina mama wawaonye na kuwakanya vijana wao ili waweze kuepuka na Masuala ya maandamano yasiokua na tija na badala yake wajielekeke Kwenye kujijengea uwezo na kutafuta ujuzi ili waweze kujiajiri/ Kuajiriwa
14/12/2025
Taasisi ya Fahari ya Mama Tanzania inajali na Kuithamini Jamii hasa wakına mama na watoto ... tukuwaasa wakina mama wawaonye na kuwakanya vijana wao ili waweze kuepuka na Masuala ya maandamano yasiokua na tija na badala yake wajielekeke Kwenye kujijengea uwezo na kutafuta ujuzi ili waweze kujiajiri/ Kuajiriwa
26/08/2025
Fahari ya mama Tanzania inayo Furaha Kubwa Kutoa mwakilishi wa NGO kupitia umoja wa wanawake Tanzania bi .
Tunakupongeza kwa Hatua hii kubwa na Tuna Amini katika utumishi wako mwema wenye kujitoa na kulitumia taifa.
KWa Hakika NGO zote nchini zimepata mwakilishi imara, kijana mwenye maono na uthubutu💪🏽 wote tunasema mama 🖐🏼 tena, October tuna ✅✅✅ cc
25/08/2025
Bodi ya wakurugenzi na wananchama wote wa Taasisi ya Fahari ya Mama Tanzania kupitia Mkurugenzi Mtendaji bi Mwajumbe Magimba inampongeza Mbunge Mteule kupitia UWT nafasi ya NGO bi kwa kuteuliwa Kuwakilisha NGO zote nchini bungeni. Salaamu Zetu Za pongezi kwa bi Rahma ambae ni mmoja wa waanzilishi ya taasisi yetu lakini pia kwa kupata nafasi hiyo kupitia taasisi ya . HONGERA SANA NA MUNGU AKUSIMAMIE UKATUWAKILISHE VYEMA MJENGONI.
27/11/2024
Tulipokua tunahamasisha vijana kuchagua viongozi wa vijiji kwa mustakabali wa maendeleo ya vijiji vyao. Kijana ana nguvu kubwa ya kuleta mabadiliko na maendeleo akifanya maamuzi sahihi ya kuchagua kiongozi mwerevu, msikivu na mtetezi wa haki.
Uchaguzi wa serikali za mtaa kwa maendeleo endelevu
26/08/2024
Tumewakilishwa vema na mkurugenzi wetu katika katika tukio kubwa la kitaifa la kizimkazi festival ambalo limehitimishwa august 25 Katika kijiji cha Makunduchi kilichopo mkoa wa Kusini unguja , Zanzibar
23/08/2024
Siku ya NISHATI SAFI YA KUPIKIA katika wiki ya Kizimkazi.
Mkurugenzi Mkuu Bi Mwajumbe Waziri wa Fahari ya mama Tanzania ameshiriki katika siku ya nishati safi ya kupikia katika wiki ya Kizimkazi festival, kongamano hilo limeratibiwa na Taasisi ya ikiwa na kauli mbiu inayosema
Taasisi yetu ya Fahari ya Mama Tanzania tukiaa wadau wakubwa wa Nishati safi nchini tunaipongeza kwa kuandaa tukio lenye tija na faida kwa nchi lakini katika kuendelea kuunga mkono juhudi za champion wa nishati safi Africa Mhe Rais wa JMT mama yetu hasa husuaan ile kauli mbiu yake ya Tumtue mama kuni kichwani.
Nasi kauli mbiu yetu ni “Tunza mazingira, linda Afya, Tanzania kupika bila moshi INAWEZEKANA”
11/08/2024
Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Fahari ya Mama Tanzania akiwa pamoja na viongozi wa serikali alipokua Jijini Paris nchini France kwenye kongamano la kimataifa la nishati safi ya kupikia kwa Afrika na mataifa mengine uliojulikana k**a SUMMIT ON CLEAN COOKING IN AFRICA, mapema May mwaka huu ambapo Mheshimiwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu alikua Makamu mwenyekiti wa mkutano huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali duniani.
Kwetu k**a taasisi imekua ni heshima kubwa kupata mualiko kutoka wa kuhudhuria mkutano huu k**a wadau wa maswala mazima ya nishati nchini. cc
03/08/2024
Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Fahari ya Mama Tanzania akiwa pamoja na viongozi wa serikali alipokua Jijini Paris nchini France kwenye kongamano la kimataifa la nishati safi ya kupikia kwa Afrika na mataifa mengine uliojulikana k**a SUMMIT ON CLEAN COOKING IN AFRICA, mapema May mwaka huu ambapo Mheshimiwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu alikua Makamu mwenyekiti wa mkutano huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali duniani.
Kwetu k**a taasisi imekua ni heshima kubwa kupata mualiko kutoka wa kuhudhuria mkutano huu k**a wadau wa maswala mazima ya nishati nchini.
02/08/2024
Ameahidi ametimiza huyu ni mama yetu