05/04/2026
Fuatilia MASHINDANO YA DUNIA YA QUR AN TUKUFU 2026 , UWANJA WA BENJAMINI WILIAM MKAPA , DAR ES SALAAM, TANZANIA TAREHE 5/04/2026.
Mgeni Rasmini Rais wa ZANZIBAR DR HUSSEIN ALLY MWINYI.
Mgeni Maalum IMAMU WA MSIKITI WA MAKKAH SAUDI ARABIA
https://www.youtube.com/live/OWLY2gBnKO0?si=fySdpUCdpNYDDDpx
Share , Subscribe, Comment.
AL AMEEN TV ...
21/03/2026
Angalia Baraza la EID KUPITIA AL AMEE N TV
🔴 #LIVE BARAZA LA EID EL FITRI KITAIFA DAR ES SALAAM
Enjoy the videos and music you love, upload original content, and share it all with friends, family, and the world on YouTube.
14/03/2026
Zakatul-Fitr ni zaka inayotolewa mwishoni mwa mwezi wa Ramadhan kabla ya Swala ya Eid al-Fitr.
1. Lengo la Zakatul-Fitri
Hikma yake
Mtume ﷺ amesema:
عن ابن عباس رضي الله عنهما قال:
فرض رسول الله ﷺ زكاة الفطر طُهرةً للصائم من اللغو والرفث وطُعمةً للمساكين.
رواه أبو داود.
Maana yake:
Mtume ﷺ ameifaradhisha Zakatul-Fitri ili:
Kumsafisha aliyefunga kutokana na makosa madogo aliyoyafanya wakati wa kufunga.
Kuwasaidia maskini ili nao wapate chakula siku ya Idi.
2. Kiwango cha kutoa
Mtume ﷺ amesema:
فرض رسول الله ﷺ زكاة الفطر صاعًا من تمر أو صاعًا من شعير...
رواه البخاري ومسلم
Maana:
Mtume ﷺ amefaradhisha Zakatul-Fitri Saa moja (صاع) ya chakula.
Kiwango chake
1 Saa = takribani kilo 2.5 – 3 za chakula.
Chakula kinachotolewa hutegemea chakula kikuu cha watu wa eneo husika.
Mfano:
Mchele
Ngano
Mahindi
Tende
3. Ni nani anatakiwa kutoa
Zakatul-Fitri
Ni wajibu kwa
Kila Muislamu
Mwenye chakula cha ziada siku ya Idi
Hutolewa kwa ajili ya:
Nafsi yake
Watoto wake
Watu anaowalea
4. Muda wa kutoa
Wakati wa kutoa una ngazi tatu:
1. Wakati bora
Baada ya kuzama jua mwisho wa Mwezi Mtukufu Ramadhan mpaka kabla ya Swala ya Idi
2. Inaruhusiwa mapema
Siku 1 au 2 kabla ya Idi
K**a ilivyofanywa na Maswahaba.
3. Ikiwa atatoa baada ya Swala ya Idi
Mtume ﷺ amesema:
من أداها قبل الصلاة فهي زكاة مقبولة ومن أداها بعد الصلاة فهي صدقة من الصدقات
رواه أبو داود
Maana: Mwenye kutoa
Kabla ya Swala ya Idi itakuwa Zaka sahihi na Mwenye kutoa
Baada ya Swala inakuwa sadaka tu
5. Je inafaa kutoa pesa badala ya chakula?
Wanazuoni wamekhitalifiana:
Rai ya wengi
(Jamhuri ya wanazuoni)
K**a:
Imam Malik
Imam al-Shafi'i
Imam Ahmad ibn Hanbal
Wanasema:
➡️ Inatolewa chakula si pesa kwa sababu hiyo ndiyo aliyofanya Mtume ﷺ.
Rai ya baadhi ya wanazuoni
K**a:
Imam Abu Hanifa
Wanasema:
➡️ Inaruhusiwa kutoa pesa ikiwa ni manufaa zaidi kwa maskini.
Taasisi ya AL AMEEN FOUNDATION - AIF inakusanya na KUGAWA na ZAKKATUL FITRI kwa makundi Maalum.
WASILISHA Zakatul Fitri Yako Kupitia Namba za Simu
+255 715 800 772
+255 657 277 747
Matarajio siku ya KUGAWA ni Siku Moja Kabla ya EID
08/02/2026
Asalaam alaikum
Kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani TAASISI YA AL AMEEN FOUNDATION AIF .
Inapenda kukushirikisha wewe Mpenda kheiri katika kuchangia PROGRAM HII MAALUM ya Iftar Kwa Makundi Maalum katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Matarajio kugawa iftar Awamu ya kwanza kabla Mwezi wa Ramadhani.
Vifaa ambavyo Tunavyo hitaji kukusanya
1.Mchele
2.Tambi
3.Unga Ngano
4.Maharage
5.Sukari
6.Mafuta
7.Tende n.k
Tuikimbilie kheiri hii.
Mawasiliano zaidi : 0715 800 772
05/02/2026
ASalaam Alaikum warahamatu Llahi wabarakatu.
Alhamdullilah Ile Shughuli ambayo tulikuwa tukii Tangaza Mwezi sasa Ni Leo
ALHAMIS TAREHE 5/02/206
KUANZIA MAGHRIB - DUA
BAADA YA SWALA ISHA - MAULID BARAZANJI.
LOCATION :
https://maps.app.goo.gl/TnECCdPZHiuFhKqS6
KARIBUNI WAGENI WOTE
Mawasiliano zaidi :
0712 257 492
0713 526 494
MAPACHA WA MTUME
Al Ameen foundation - AIF
Al Ameen Foundation - AIF · Dar es Salaam
Find local businesses, view maps and get driving directions in Google Maps.
10/01/2026
Zoezi la Ugawaji wa Vifaa vya Shule kwa watoto Yatima 2026 , *AL AMEEN FOUNDATION -AIF*
LINAFANYIKA KIJITONYAMA ALIMAUA
🔴LIVE # ZOEZI LA UGAWAJI VIFAA VYA SHULE NA DUA KWA WATOTO YATIMA 2026
Enjoy the videos and music you love, upload original content, and share it all with friends, family, and the world on YouTube.
22/12/2025
ASALAAM ALAIKUM
CHANGIA VIFAA VYA SHULE KWA WATOTO YATIMA ZAIDI YA 100 KUPITIA AL AMEEN Al Ameen foundation - AIF.
MAWASILIANO ZAIDI
0715 800 772