"Hand In Hand--The Dream Continues"
Hand in Hand, that's all of us, reaching out and helping each other, especially those who need our help the most. Our hands are God's hands letting God's love flow through each of us out into the world. The dream continues--the Father's dream for all of us, of peace, happiness, prosperity, loving and being loved--the dream that each of us have for our own children, magnified millions of times greater. Wells of Life Tanzania, with your help, is one instrument of that dream.
Chamazi Orphanage
SHORT HISTORY OF THE YATIMA GROUP TRUST FUND
Orphans, Street Children and Widows are three societal groups that have one thing in common.
Briefly Chamazi Children’s Home is a home founded on 5 February 1996, providing parental care for orphans and vulnerable children, and establishing a nurturing nursing home to support bereaved children’s growth (Yatima Group Trust Fund & Wells of Life). Although they are physically in plain sight for everyone to see, the plight is ignored. When we fail to see these children, we forget them. When w
28/03/2026
Pamoja sana
Upatikanaji wa maji safi na salama ya kunywa bado ni mojawapo ya changamoto kubwa zaidi za afya ya umma na maendeleo nchini Tanzania. Katika jiji la Dar es Salaam linalokua kwa kasi, hasa katika makazi yasiyo rasmi na maeneo ya pembezoni mwa jiji, pamoja na katika jamii za vijijini kote nchini, mamilioni ya watu bado wanategemea vyanzo vya maji visivyo salama na visivyoaminika kwa mahitaji yao ya kila siku.
Ingawa visima vya maji vina mchango muhimu katika kuziba pengo la upatikanaji wa maji jijini Dar Es Salaam, ubora wa maji yanayotolewa kutoka katika vyanzo hivi mara nyingi huathiriwa na uchafuzi unaotokana na shughuli za binadamu, mazingira, pamoja na miundombinu duni ya usafi wa mazingira. Hivyo, upatikanaji wa maji pekee hauhakikishi usalama; hata vyanzo vilivyoboreshwa vinaweza kuwaweka watumiaji katika hatari kubwa za kiafya.
Kimataifa, bado mamia ya mamilioni ya watu hawapati maji ya kunywa yanayosimamiwa kwa usalama na serikali zao, hali inayowalazimu kutegemea maji ya mito, mabwawa, visima vya kienyeji, au maji yanayosambazwa kupitia mifumo isiyo rasmi.
Nchini Tanzania, hasa jijini Dar Es Salaam hali hii inaonekana zaidi miongoni mwa watu wa kipato cha chini, ambapo uhaba wa maji unahusiana moja kwa moja na umaskini, ukuaji wa haraka wa miji, na uwekezaji mdogo katika miundombinu. Madhara yake ni makubwa mno, kwani Magonjwa yatokanayo na maji yasiyo salama, hasa magonjwa ya kuhara, bado ni sababu kuu ya magonjwa na vifo, hasa kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano. Kwa hakika, maji yasiyo salama na ukosefu wa usafi wa mazingira huchangia vifo vya watoto wengi zaidi kuliko malaria, UKIMWI, na surua kwa pamoja.
Vifo hivi vinaweza kuzuilika kwa kiasi kikubwa, jambo linaloonesha umuhimu wa haraka wa kuwekeza katika upatikanaji wa maji safi na salama na utunzwaji wa maji salama. Kuhakikisha upatikanaji wa maji salama ya kunywa si tu wajibu wa afya ya umma bali pia ni haki ya msingi ya binadamu inayohitajika kwa maisha yenye heshima, uzalishaji, na maendeleo endelevu. Ingawa juhudi za serikali na wadau wa maendeleo zimeleta mafanikio ya kuongezeka kwa upatikanaji wa maji na kuboresha utoaji wa huduma, bado kuna mapungufu makubwa, hasa katika kuhakikisha usalama na ubora wa maji wakati wa matumizi. Hii inaonesha umuhimu mkubwa wa uhitaji wa mbinu za kutibu maji katika ngazi ya kaya na uhifadhi salama wa maji (HWTS) k**a suluhisho linalokamilisha mifumo ya maji kutoka katika chanzo hadi katika matumizi ya kaya.
Miongoni mwa mbinu mbalimbali rahisi za kutibu na kuboresha maji ya kunywa katika ngazi ya familia zinazopatikana, ni Teknolojia ya kutibu Maji kwa Mionzi ya Jua (SODIS); ni njia rahisi, nafuu, na inayopatikana kwa urahisi yenye uwezo mkubwa wa kuleta matokeo kwa kutumia rasilimali chache. Njia hii inahusisha kujaza maji yenye uchafu mdogo katika chupa ya plastiki wazi (PET) na kuyaweka kwenye mwanga wa moja kwa moja wa jua kwa masaa sita au zaidi. Kupitia mchanganyiko wa mionzi ya ultraviolet (UV-A) na joto, vijidudu hatarishi, ikiwemo bakteria, virusi, na vimelea vyote, huangamizwa kabisa, na kufanya maji kuwa salama zaidi kwa matumizi. SODIS haihitaji gharama kubwa, haihusishi matumizi ya kemikali, na hutegemea vifaa vinavyopatikana kwa urahisi katika mazingira yote, jambo linaloifanya kuwa chaguo bora kwa jamii zilizo pembezoni.
Shirika la Wells of Life Tanzania limekuwa mstari wa mbele katika kuboresha hali ya maji, usafi wa mazingira, na afya (WASH) kwa kuunganisha maendeleo ya miundombinu na suluhisho za kutibu maji katika ngazi ya jamii, hasa kwenye vituo vya nyumba za watoto (Orphanage). Kazi yake inalenga si tu ujenzi na ukarabati wa vyanzo vya maji, bali pia kuhamasisha mabadiliko ya tabia yanayowawezesha kaya kudhibiti ubora wa maji wanayotumia.
Katika maeneo ambayo ujenzi wa visima hauwezekani au ambapo vyanzo vilivyopo si salama, matibabu ya maji katika ngazi ya kaya huwa ni mbadala muhimu. Pamoja na faida zake, SODIS pia ina changamoto zake. Masuala k**a kupungua kwa ufanisi kutokana na uchakavu wa chupa, ufuasi mdogo wa watumiaji, na ushindani kutoka kwa teknolojia mpya yanapaswa kuzingatiwa.
Kwa ujumla, hakuna mbinu moja ya kutibu na kuboresha maji ya kunywa katika ngazi ya familia inayofaa kila mahali; kila moja ina faida na mapungufu yake. Hivyo basi, ni muhimu kutumia mkakati jumuishi na wenye mchanganyiko wa mbinu mbalimbali unaowezesha watumiaji kufanya maamuzi sahihi kulingana na mahitaji yao.
Waraka huu umechunguza nafasi ya SODIS katika muktadha mpana wa suluhisho ya kutibu maji pembezoni mwa jiji la Dar Es Salaam na Mji mdogo wa Mikumi- Morogoro, ikilenga matumizi yake, ufanisi wake, na uwezo wake wa kupunguza mzigo wa magonjwa yatokanayo na maji yasiyo salama. Kwa kuzingatia vipengele vya kiufundi na kitabia vinavyohusiana na usalama wa maji, inalenga kuchangia katika mfumo imara zaidi, jumuishi, na unaolenga afya katika usimamizi wa rasilimali za maji; mfumo unaohakikisha kuwa hakuna jamii inayobaki nyuma katika jitihada za kupata maji salama ya kunywa
By Fred George
28/03/2026
Upatikanaji wa maji safi na salama ya kunywa bado ni mojawapo ya changamoto kubwa zaidi za afya ya umma na maendeleo nchini Tanzania. Katika jiji la Dar es Salaam linalokua kwa kasi, hasa katika makazi yasiyo rasmi na maeneo ya pembezoni mwa jiji, pamoja na katika jamii za vijijini kote nchini, mamilioni ya watu bado wanategemea vyanzo vya maji visivyo salama na visivyoaminika kwa mahitaji yao ya kila siku.
Ingawa visima vya maji vina mchango muhimu katika kuziba pengo la upatikanaji wa maji jijini Dar Es Salaam, ubora wa maji yanayotolewa kutoka katika vyanzo hivi mara nyingi huathiriwa na uchafuzi unaotokana na shughuli za binadamu, mazingira, pamoja na miundombinu duni ya usafi wa mazingira. Hivyo, upatikanaji wa maji pekee hauhakikishi usalama; hata vyanzo vilivyoboreshwa vinaweza kuwaweka watumiaji katika hatari kubwa za kiafya.
Kimataifa, bado mamia ya mamilioni ya watu hawapati maji ya kunywa yanayosimamiwa kwa usalama na serikali zao, hali inayowalazimu kutegemea maji ya mito, mabwawa, visima vya kienyeji, au maji yanayosambazwa kupitia mifumo isiyo rasmi.
Nchini Tanzania, hasa jijini Dar Es Salaam hali hii inaonekana zaidi miongoni mwa watu wa kipato cha chini, ambapo uhaba wa maji unahusiana moja kwa moja na umaskini, ukuaji wa haraka wa miji, na uwekezaji mdogo katika miundombinu. Madhara yake ni makubwa mno, kwani Magonjwa yatokanayo na maji yasiyo salama, hasa magonjwa ya kuhara, bado ni sababu kuu ya magonjwa na vifo, hasa kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano. Kwa hakika, maji yasiyo salama na ukosefu wa usafi wa mazingira huchangia vifo vya watoto wengi zaidi kuliko malaria, UKIMWI, na surua kwa pamoja.
Vifo hivi vinaweza kuzuilika kwa kiasi kikubwa, jambo linaloonesha umuhimu wa haraka wa kuwekeza katika upatikanaji wa maji safi na salama na utunzwaji wa maji salama. Kuhakikisha upatikanaji wa maji salama ya kunywa si tu wajibu wa afya ya umma bali pia ni haki ya msingi ya binadamu inayohitajika kwa maisha yenye heshima, uzalishaji, na maendeleo endelevu. Ingawa juhudi za serikali na wadau wa maendeleo zimeleta mafanikio ya kuongezeka kwa upatikanaji wa maji na kuboresha utoaji wa huduma, bado kuna mapungufu makubwa, hasa katika kuhakikisha usalama na ubora wa maji wakati wa matumizi. Hii inaonesha umuhimu mkubwa wa uhitaji wa mbinu za kutibu maji katika ngazi ya kaya na uhifadhi salama wa maji (HWTS) k**a suluhisho linalokamilisha mifumo ya maji kutoka katika chanzo hadi katika matumizi ya kaya.
Miongoni mwa mbinu mbalimbali rahisi za kutibu na kuboresha maji ya kunywa katika ngazi ya familia zinazopatikana, ni Teknolojia ya kutibu Maji kwa Mionzi ya Jua (SODIS); ni njia rahisi, nafuu, na inayopatikana kwa urahisi yenye uwezo mkubwa wa kuleta matokeo kwa kutumia rasilimali chache. Njia hii inahusisha kujaza maji yenye uchafu mdogo katika chupa ya plastiki wazi (PET) na kuyaweka kwenye mwanga wa moja kwa moja wa jua kwa masaa sita au zaidi. Kupitia mchanganyiko wa mionzi ya ultraviolet (UV-A) na joto, vijidudu hatarishi, ikiwemo bakteria, virusi, na vimelea vyote, huangamizwa kabisa, na kufanya maji kuwa salama zaidi kwa matumizi. SODIS haihitaji gharama kubwa, haihusishi matumizi ya kemikali, na hutegemea vifaa vinavyopatikana kwa urahisi katika mazingira yote, jambo linaloifanya kuwa chaguo bora kwa jamii zilizo pembezoni.
Shirika la Wells of Life Tanzania limekuwa mstari wa mbele katika kuboresha hali ya maji, usafi wa mazingira, na afya (WASH) kwa kuunganisha maendeleo ya miundombinu na suluhisho za kutibu maji katika ngazi ya jamii, hasa kwenye vituo vya nyumba za watoto (Orphanage). Kazi yake inalenga si tu ujenzi na ukarabati wa vyanzo vya maji, bali pia kuhamasisha mabadiliko ya tabia yanayowawezesha kaya kudhibiti ubora wa maji wanayotumia.
Katika maeneo ambayo ujenzi wa visima hauwezekani au ambapo vyanzo vilivyopo si salama, matibabu ya maji katika ngazi ya kaya huwa ni mbadala muhimu. Pamoja na faida zake, SODIS pia ina changamoto zake. Masuala k**a kupungua kwa ufanisi kutokana na uchakavu wa chupa, ufuasi mdogo wa watumiaji, na ushindani kutoka kwa teknolojia mpya yanapaswa kuzingatiwa.
Kwa ujumla, hakuna mbinu moja ya kutibu na kuboresha maji ya kunywa katika ngazi ya familia inayofaa kila mahali; kila moja ina faida na mapungufu yake. Hivyo basi, ni muhimu kutumia mkakati jumuishi na wenye mchanganyiko wa mbinu mbalimbali unaowezesha watumiaji kufanya maamuzi sahihi kulingana na mahitaji yao.
Waraka huu umechunguza nafasi ya SODIS katika muktadha mpana wa suluhisho ya kutibu maji pembezoni mwa jiji la Dar Es Salaam na Mji mdogo wa Mikumi- Morogoro, ikilenga matumizi yake, ufanisi wake, na uwezo wake wa kupunguza mzigo wa magonjwa yatokanayo na maji yasiyo salama. Kwa kuzingatia vipengele vya kiufundi na kitabia vinavyohusiana na usalama wa maji, inalenga kuchangia katika mfumo imara zaidi, jumuishi, na unaolenga afya katika usimamizi wa rasilimali za maji; mfumo unaohakikisha kuwa hakuna jamii inayobaki nyuma katika jitihada za kupata maji salama ya kunywa
By Fred George
Just in case you missed 60 Minutes:
A legal spokesperson advised us to post this notice. This violation of privacy can be punishable by law. NOTE: Facebook Meta is now a public entity. Every member must post a note like this. If you do not publish a statement at least once, it will be technically understood that you are permitting the use of your photos, as well as the information contained in your profile status updates.
I HEREBY DECLARE THAT I DO NOT GIVE FACEBOOK META MY PERMISSION TO USE ANY OF MY PERSONAL DATA.
I also don’t give AI permission to look at my internet presence period. I do not agree to let anyone offer me AI without my specific authorization or permission.
Copy and paste to your page
Thank you
Dear Alberte,
It is with great sorrow that on Saturday 24th September, we waved goodbye to you. Saying farewell is never easy, for your presence among us has meant more than words can express. We will miss you deeply.
At the same time, our hearts are filled with gratitude and encouragement because of your unfailing love, dedication, and tireless support for the activities of Chamazi Children’s Home. As you have always said, Chamazi is your second home—and indeed, you became part of our family.
Having lived with us, you have seen, learned, and experienced firsthand what it truly means to be an orphan. You understand the practical and meaningful ways required to protect the welfare of orphaned children. Through your actions and compassion, you have already made a profound and lasting impact on their lives—empowering them to dream boldly and helping break the cycle of poverty.
We trust that you will be a true ambassador and voice for our children, sharing with our brothers and sisters in Denmark, France, and across the world the real meaning of orphanhood and the urgent need for love, care, and support.
We sincerely appreciate not only your efforts, but also the support of all sympathizers who stand with us in our longstanding commitment to community development. We firmly believe that this partnership brings hope, dignity, and opportunity to deserving children.
Any support—whether partial or full—truly makes a difference in shaping a brighter future. Thank you, Alberte, for walking this journey with us. Chamazi will always be your home.
With heartfelt gratitude,
Chamazi Children’s Home, Management & Children.
07/12/2025
It's a fact: Without help, children in poverty become adults in poverty. Meet children waiting for your food and school sponsorship at Chamazi Children. In times of crisis, children in poverty are especially vulnerable and face uncertain futures. Your monthly gift of $25 will give your sponsored child access to life-changing benefits, like medical care, educational support, life skills and job training before graduation.
As a sponsor, you'll be able to see your impact firsthand through letters and photos from your child. You’ll learn about key programs specifically designed to address children's toughest issues in their fight to escape poverty. Ready to sponsor a Child at Chamazi Children:
Email us: [email protected] or [email protected]
01/12/2025
A Heartfelt Appeal for Food Support for Orphans This Festive Season 2025.
Dear friends, receive a warm greeting from Chamazi Children home.
As Christmas and New Year draw near—a season of giving, love, and unity—we humbly appeal for your support to help us put smiles on the faces of the orphans we care for. For many of these children, your kindness may be the only source of joy and celebration they will experience this festive season.
Chamazi children home is seeking food donations that will allow us to prepare a special holiday meal and create moments of happiness and hope for the children. Items such as rice, maize flour, beans, cooking oil, sugar, meat, milk, fruits, and juice would be of tremendous help.
Your generosity will bring comfort to children who have endured hardship and loss. With your support, they can feel valued, remembered, and embraced by a community that cares.
We would be grateful to coordinate the delivery or collection of your donations within Dar es salaam city at a time convenient for you. Please reach us through +255 0714 799 433 or [email protected] or [email protected].
Thank you, from the bottom of our hearts, for considering this appeal. May your kindness return to you in abundance.
With heartfelt appreciation,
Fred George Njegeja
SECRETARY GENERAL
Never stop being a good person........ even if bad things happen to you. By Denzel
16/11/2025
Dear partners greetings
Chamazi Orphanage expresses its sincere commitment to partnering with donors who share our mission of safeguarding and uplifting vulnerable children. As an institution dedicated to providing care, protection, nutrition, education, and emotional stability for orphans, we recognize that sustainable support requires strong and transparent cooperation between our organization and valued partners.
Through this cooperation, Chamazi Orphanage pledges to utilize all donor contributions responsibly and exclusively for the welfare and development of the children under our care. We are committed to maintaining high standards of accountability, including clear financial reporting, regular program updates, and transparent communication to ensure donors can confidently follow the impact of their support.
We welcome collaboration with donors who are passionate about improving the lives of orphaned and at-risk children. Together, we can strengthen essential services such as food provision, healthcare, education, psychosocial support, shelter improvement, and skills development. This cooperative partnership will not only improve living conditions but also open pathways for long-term growth, dignity, and hope for every child at Chamazi Orphanage.
Chamazi Orphanage stands ready to work hand-in-hand with donors to create meaningful, measurable, and lasting change. Your partnership is deeply valued, and we look forward to building a strong and impactful relationship that prioritizes the wellbeing and future of the children we serve.
The current situation of the country as we are heading to the presidential election creates a lot of fear and tension. The country is going to this election separated, we have those who want to vote, and those who want to stop it. Following the government especially police military to use a huge force, I see unrest of the country and might take long. This is what denies my sleep, when am looking to my store and think about my children. God serve my country
23/09/2025
Poverty is not an accident it is a man-made and can be removed by actions of human beings. Happiness is never decreased by being shared. It is not necessary to help only with money. You can also give an item to the needy person who needs it. Having expensive cars and suit makes you look good and rich but not a good human being. Good humans are those who help others, have a merciful and humane heart.
"A person’s most useful asset is not a head full of knowledge, but a heart full of love", an ear ready to listen and a hand willing to help, no matter how talented, educated and rich you are, how you treat people tells all and integrity is everything. At the very end of our lives, we will not be judged by how many certificates we have received, how much money we have made or how many great things we have done.
We will be judged by; ‘I was hungry and you gave me to eat. I was cold and you clothed me. I was homeless and you took me in'.
"There is no exercise better for the heart than reaching down and lifting people up.” “When we give cheerfully and accept gratefully, everyone is blessed.”
“You have not lived today until you have done something for someone who can never repay you.”
We rise by lifting others.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Address
Mbagala Charambe
Dar Es Salaam
15116
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 08:00 - 17:00 |